Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Hta akirudisha bado jamaa atafanya maamuzi magumu.Kwa kiwango cha uwekezaji ina maana jamaa anampenda na ana mpango nae so whatever she does will not end easily.
Kabisa ndo maana anataka kuzaa nae sbb uhakika wa watt wake kuishi vzr
 
Kwetu tayari wanamfahamu ila hawajui kama ni mume wa mtu.
[emoji87][emoji848]
Duh kumbe bora nili escape!
Nilitaka kupewa nyumba,biashara nk!
Ila niliwaza nikaacha japo roho ilikuwa inaniuma hakuna dada asiyetamani maisha mazuri! Nikawa nataka nimerudie yule mtu ila mhh,moyo ulikataa!niligoma niliona kabisa nikitaka kuja kuolewa hapa sitachomoka!
 
Kazi unayo na inakufaa ufanye maamuzi magumu umwambie unachotaka na unatamani kua nan la sivyo utakua sex machine mpka atakapochoka yy ila ukitaka heshima kwenye jamii lazima uumie hata yy akiumia sio dhambi
 
Ni bora kuwa mchepuko wa mwanaume mwenye uhakika wa maisha kuliko kuwa mke wa ndoa wa mwanaume anayebahatisha maisha.[/QUOTE]

Duh,iam jus thinking aloud[emoji848][emoji144]
 
Kaa chini uongee nae kuhusu future yako either akuoe Kama mke wa pili au akuache then kuhusu vitu mrudishie Kama atavihitaji uanze upya

NB ongea nae kwa namna nzuri
 
Waache wote wawili
 
umeshazaa na kuwajengea wangapi mkuu?
 
Yani mtu anakupenda, anakuhudumia, amekubadilishia life, yuko proud na wewe.

Umuache kisa ili uwe na mahusiano na kijana.

Ambaye naye atakuchekupukia tu.

Anyways, I'm kinda polygamous.
As naendelea kukua naelewa tu ndoa, titles za mahusiano and all along that line havina uhusiano wa moja kwa moja na aina ya mahusiano one shud have.

Hapa sana sna nakushangaa tu.
Ukikua utanielewa.
 
Kabisaaaa nakubali dea.
 
Dada tunaomba update!

NB: hilo penzi jipya litakuponza, nina mifano miwili ya waliokimbilia true love na kuacha mme wa mtu....wamepaukaje sasa in the pursuit ya kuitwa Mrs , lol wanajutaa
[emoji23][emoji23]
 
Watu wanasema wanawake hamjitambui mi nikadhani ni utani kumbe ni kweli. Nimepata reference kwako.
Babu aliwahi kuniambia , wanawake ni watoto/kama watoto. meaning decision making yao ni ngumu kuielewa
Akaniambia ( sisi ni wafugaji huku tarime, utajiri wetu ni mifugo/ng'ombe) mkiwa tajiri wanawake wanalalamika , wanasema haya mang'ombe yametuchosha
KUSIPOKUWEPO NA NG'OMBE wanalamikia ufukara
Kwahiyo mazingira yoyote tegemea mwanamke kulalamika
Ukimpenda sana, hataki, atalalamika
usipompenda pia atalalamika
Turudi kwako. unapendwa, umejengewa nyumba, umenunuliwa gari , umepangiwa nyumba tena, ulojengewa umepangisha unakula kodi
Sasa unataka nini hasa
 
Mnawapaga vitu gani wanaume wenzetu maboya ao husikute hata wazaz wake kijiji wanaishi maisha duni wadogo zake Kula Yao nishida
 
Kuja haina tatizo ila basi atoe taarifa. Kuna wakati unastukia tu saa sita ya usiku katoka safari badala aende kwa mkewe anakuja kwangu!
Atoe taarifa nyumbani kwake
 
Kwa Africa mwanamke kutembea na mume wa mtu siyo kesi kesi na ni hatari mwanaume kutembea na mke wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…