Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Hahaahhaahahah. Kumbe unacheki???
Mimi ndio nimewasha hapa.
View attachment 2122258
Unachomoa kwa penalti
Naona umeweka silk plaster ya Silcoat
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaahhaahahah. Kumbe unacheki???
Mimi ndio nimewasha hapa.
View attachment 2122258
Unachomoa kwa penalti
Watu akikupa kisimu cha tochi tu anakidai.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya mambo ya kurudishiana vitu yanatoka wapi jamani? Hizi roho mbaya sijui wanazitoa wapi!!!
Hahaahaha!Naona umeweka silk plaster ya Silcoat
Hahaahaha!
Home hapo kwa mzee nipo likizo kimtindo
Kubali tu, hili kidogo lina wasumbua! Hampendani!Mwanaume mwenye roho nzuri toa ushauri basi
Zimefika!Wasalimie sana
Rudisha hiyo Nyumba aliyokujengea then anza kujilipia kodi mwenyewe..Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.
Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even proud with what i did so if you judge me i’ll understand.
Huyu mtu tangu nafahamiana nae ameyabadilisha sana maisha yangu maana ana mchango mkubwa sana. Alinisaidia kupata kazi nzuri na kuachana na kakazi kangu nilikokuwa nafanya, alinihamisha na kunipangishia sehemu nzuri zaidi. Baadae alininunulia gari nami nikawa natembea nimekaa, pia amenijengea nyumba iliyo kwa jina langu ila kwakuwa ipo nje ya mji nimeipangisha nakula kodi ila bado analipia kodi hapa ninapoishi.
Mahusiano yalipoanza sikufikiria hata yangechukua miezi 6, ila sasa ni miaka mitatu+. Ni mwanaume anayejali sana ila ana wivu balaa. Ni mara kadhaa amekuwa akinitishia kuwa akigundua ninamsaliti atanikata shingo. Sasa huwa najiuliza huyu ni mume wa mtu, anatarajia kweli niwe na yeye tu ili iweje?
Sasa nimechoka jamani, natamani niwe na mpenzi wangu na sio mume wa mtu. Kuna huyu kijana nimeanza nae mahusiano sasa ni miezi 5, kusema kweli nampenda na ninaona kabisa nae ananipenda. Haya ndio aina ya mahusiano niyatakayo. Nimekuwa nikitafuta visingizio kuwa asije kwangu maana sio maadili ila ukweli ni kuwa naogopa mlipa kodi akijua atanitoa roho.
Huyu mume wa mtu nishamtafutia visingizio ili tuachane ila inashindikana. Natamani yeye ndio aanze ili asije kuwa na kinyongo. Ila kuna wakati najipa moyo kuwa nimwambie tu tuachane lakini nikikumbuka aliwahi kunikunja nusura anipige alipokuta msg asizozielewa kwenye simu nahisi kutetemeka. Aliwahi kunionyesha silaha anayomiliki, nilipomuuliza ni ya nini akasema hata mimi nikimletea ujinga ananifyatua. Japo ulikuwa utani ila niliogopa kusema kweli.
Balaa zaidi recently ameanza kung’ang’ania nimzalie. Nimekuwa nikijifanya mimba hazishiki ila kusema kweli natumia dawa zisishike maana siko tayari kuzaa nae. Kwanza nahisi kama suffocation maana ananibana sana. Kwangu anakuja tu muda wowote akijisikia, na ole wangu asinikute nyumbani ni tatizo kubwa. Kila ninachofanya anahitaji apate taarifa kwanza, yaani kama mkewe vile jamani.
Nimejaribu kuelezea haya ili angalau muelewe ni kwanini nahitaji msaada wa mawazo yenu ili nijikwamue kwenye hili shimo nililojichimbia. Nipeni ushauri naachanaje na huyu mwanaume bila kuleta madhara kwangu.
[emoji28][emoji28][emoji28] Anatafuta kifo kirahisi sana...!Ujengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..
Halafu unasema anaku suffocate?
Tukusaidie umuache vipi?
Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?
Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?
Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
Wewe nae anza kujiandaa😂😂 vip hujaanza kuwekeza kwa hao wapenzi wako?,mara mchepuko mara mdogo mtu, ka gegedo kako kako moto kweriiii kweriiiiy😂😂.Maneno mazur Sana Ayo luckyline[emoji4][emoji106]
Sio uongo ndugu yangu ndoa ni ngumu kwa kiasi chake, naongelea hili nikiwa kama mhanga!Wewe nae anza kujiandaa[emoji23][emoji23] vip hujaanza kuwekeza kwa hao wapenzi wako?,mara mchepuko mara mdogo mtu, ka gegedo kako kako moto kweriiii kweriiiiy[emoji23][emoji23].
Sijui ndoa zina nini, kuna kaka alinambia kuwa mwanaume akitaka kufa mapema akose mchepuko. Eti ndoa ngumu.
Nakazia hapaUjengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..
Halafu unasema anaku suffocate?
Tukusaidie umuache vipi?
Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?
Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?
Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
Hawezi kufa...kwahiyo unamshauri dada wa watu kufa sio. Akifanya hivo ajue wazi kabisa anakufa muda wowote afanye na maandalizi tuu. Na sasaivi watu wanavouana ni hatare.
Yaani hapa suala la kuwa na kinyongo kwa kweli lazima ata ingekuwa wewe mtu ame invest time emotions na money and u exect asiwe na kinyongo.
Solution nyingine tafuta kazi nje ya nchi ama nenda kasome nje ya nchi huku ukimwachia hizo mali zote
Wanawake nao sometimes wanapitia magumu, kuna rafiki yangu alikuwa na mme wa mtu wameachana juzi kwa mwenyekiti maana police ilishindikana.Ndo aina ya wanawake tulokua nao, shukran ya punda Ni mateke.
Ila Ni mwanaume mpumbavu pekee ndo atakayeruhusu huo upuuzi wake utokee[emoji4]
Hakika...Huu ndiyo muongozo wako siku hiz??
Polee tafuta mchepuko ila usimletee mkeo ukimwiSio uongo ndugu yangu ndoa ni ngumu kwa kiasi chake, naongelea hili nikiwa kama mhanga!
Hii ba ngoosha !!!! Yan haya maswala hata kama roho ya kishetani huna inajiapload yenyewe, ye binti aombe ndoa kwa uyo kiongozi, ila ingekuwa kule ucgagani machame bibie angemtanguliza mbele za haki jamaa chapu tuMimi pia na mke mdogo( enzi alikuwa mchepuko akisoma chuo nikampangia na kumpa gari na biashara alipomaliza chuo nikamjengea then et anataka aniache nilimfata mamake nikamwambia nitawaua ukoo mzima)
Wakat natoa hela mtoto anasoma na kuishi vzr dar why hawakumzuia sahiz ndo wanawaza aolewe? Never
Ilibid waongee nae vzr akakubali nikamuoa mke wa pili ndo kesi ikaisha