Ndo aina ya wanawake tulokua nao, shukran ya punda Ni mateke.
Ila Ni mwanaume mpumbavu pekee ndo atakayeruhusu huo upuuzi wake utokee[emoji4]
Wanawake nao sometimes wanapitia magumu, kuna rafiki yangu alikuwa na mme wa mtu wameachana juzi kwa mwenyekiti maana police ilishindikana.
Pia kabla ya police nilikuwa nasuluhisha kila siku.
Mme wa mtu alikuwa anamuhudumia hadi sisi tunaona wivu, sema huyu dada alitumia akili hakutaka kukubali kujengewa, sijui gari vyote alikwepa na kizuri mwanaume ndo alikuwa akija kwa dada, tuko fensi moja so hayo yote niliyaona kwa macho yangu.
Mimi nikamuita dada nikamuuliza mbona huyu mwanaume anakudekeza huduma zote anakupa hadi sisi majirani tunaona wivu nini shida, kwa nini unachepuka?
Huyo dada alilia akafunguka,
" mimi nimechoka ndani ya miaka 4 niko kifungoni na huyu baba nateseka mimi, hajawahi nifanyia chochote, hata shuka halijawahi lowa hata kidogo.
Usimuone huo urefu, kalea kitambi kadudu kamebaki kadogo sana, na mimi nilivyomnene kanaishia mapajani, nilikuwa namvumilia kwa sababu ananihudumia ila kwa sasa nimechoka.
Kuna biashara tuliwekeza wote namrudishia mtaji wake ila mimi siwezi tena, ana wivu, ananifata kazini, nikitoka out ananisaka mji mzima tukifika ndani hana anachonifanyia, nimechoka mimi, staki tena mgongo unaniuma , bado kunionea wivu kunipiga na mkanda, staki mimi akapiga ukunga."
Dada alivyoenda police wakasema hawataki kesi za wapenzi, akaenda kwa mwenyekiti wakaita wajumbe, mwanaume akasema hawezi kumwacha kirahisi eti kawekeza
kwake, dada kasema hela yote ya mtaji nitampa ila tuachane nipumue.mwanaume akagoma.
Kwenye huo mgogoro mwanaume alitoa vitisho vya kumuua dada kwa sms akaituma kwa mama dada,so siku hiyo kwa mwenyekiti dada kaonesha hiyo sms. Dada kamwambia mwenyekiti kuwa huyo mwanaume atamuua wagawame walichowekeza mbele ya mwenyekiti.mwanaume kagoma.
hiyo ishu ya kushindwa kufanya kazi kitandani hakuisema kwa mwenyekiti.
Sasa mwenyekiti akaamua kuwa mwanaume aondoke pale maana dada alikuwaga akipanga hapo before.aondoke hapo arudi kwake mpaka baada ya wiki. Wakirudi kila mtu aje na anachodai wakabidhiane kwa mwenyekiti.
Dada kaomba asindikizwe mwanaume atowe vitu vyake, maana na ufunguo mwanaume alizigomea dada akawa analala hotelini. Walipofika ndani akatoa vitu kiduchu nguo zote zikabaki, dada kasema avumilie mpaka huo muda waachane kwa amani.
Dada kamwambia mlinzi asiruhusu kuingia getini, lakini pia mwenyekiti aliandika barua ya kumtaka mwanaume asikanyage hapa mpaka siku walopewa kupata suluhu.
Mwanaume akaondoka, wakaanza jibizana kwenye simu mdada kamwambia alivyonchoka gegedo halifanyi kazi, mwanaume akasala kuwa kapata mabwana wengine, ni kweli dada alikuwa kapata mtu.
Baada ya wiki mwanaume hakurudi kwa mwenyekiti, dada akaandaa mtaji alopewa akapeleka kwa mwenyekiti, wakamsubiri mwanaume hakuja hadi leo.
Dada katoa nguo za mwanaume kaziweka kwenye salufeti ziko hapo coridoni. Ni mwezi sasa mwanaume hajarudi. Tunasikia alienda kwa mganga amroge asiachike.
Nb huyu mwanaume ana familia yake mkewe waliachana anaishi na wanae tu. Mwanaume alitaka amuoe huyu dada akagoma akawa akimpotezea coz alijua hawez ingia nae ndoa.
Za chini chini zinasema mke wa huyu mwanaume aliondoka sababu ya mapungufu ya kitandani ya mwanaume, kwamba siku moja alizidiwa akachepuka alipigwa akaondoka ndani yupo uchi hadi leo hajawahi rudi.
Mwanaume kosa vingine ila sio nguvu za kiume
So mleta mada kuwa makini rudisha kila kitu ishi maisha yako.