KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Unakula sana au una uzito uliopitiliza
Tumia chai yenye kahawa kabla ya vikao na kabla ya kwenda kanisani
Tumia chai yenye kahawa kabla ya vikao na kabla ya kwenda kanisani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuishi na mifugo, alafu sleeping sickness ni kila Wakati, Mimi usingizi wangu ni selectiveHili ni swali muhimu sana naomba unijibu, umewahi kuishi na mifugo au kuwa mfugaji? Kama umewahi, nenda kapime homa ya marale (sleeping sickness), hii husababishwa na mbung'o, mbung'o wanafanana na nzi ila wao ni wakubwa sana na wanapenda kuishi na wanyama na hung'ata kama mbu na kukuachia vijidudu.