Nimekuwa single leo hii

Usiyatukane mapenzi jitukaneni nyinyi wapenzi ndio huwa mnazinguana! Ujeshi na ulegevu kwenye mapenzi si kitu hata akijua kwa mzazi muelewa atachukulia ni sehemu ya maisha tu.
 
ktk mahusiano lazima uwe jasiri dalili nliziona mapema, so alivyosema nikaona n muda sahihi .nmepitia mengi so kuachwa nafurahi ili mambo yangu yaende .only simple memory na znafutika within a hour
 
pili inahitaji umuachilie kwenye moyo maana ukiendelea kumfunga kwa kulilia , utaugua. sa naanzaje kuhuzunika huku nmetua mzigo.
 
WTF
 
Sasa utaona PM itakavojaa.
Hivi watu hua wanajilipuaje mpka wanapata bebez humu jf?
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ subiri na mimi niwahi siibiiiii af niingie pm chap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…