Nimekuwa single leo hii

Nimekuwa single leo hii

Mumlii umeachwa na una nguvu ya kucheka.???
Mimi ile taqataqa ilivyoniacha nilikonda jamani nilikuwa sili wala silali..!!
Ila sahii ndiyo naona ni uphaller walaqhi', hivi Baba yangu anavyoniamini mwanajeshi wake, akijua uchiinga niliofanya nitaweka wapi sura yangu..??
Usiyatukane mapenzi jitukaneni nyinyi wapenzi ndio huwa mnazinguana! Ujeshi na ulegevu kwenye mapenzi si kitu hata akijua kwa mzazi muelewa atachukulia ni sehemu ya maisha tu.
 
Mumlii umeachwa na una nguvu ya kucheka.???
Mimi ile taqataqa ilivyoniacha nilikonda jamani nilikuwa sili wala silali..!!
Ila sahii ndiyo naona ni uphaller walaqhi', hivi Baba yangu anavyoniamini mwanajeshi wake, akijua uchiinga niliofanya nitaweka wapi sura yangu..??
ktk mahusiano lazima uwe jasiri dalili nliziona mapema, so alivyosema nikaona n muda sahihi .nmepitia mengi so kuachwa nafurahi ili mambo yangu yaende .only simple memory na znafutika within a hour
 
MTU ANAEKULA NAMNA HII HAWEZI SHINDWA KULA RUSHWA.

FB_IMG_16507481968124247.jpg
 
pili inahitaji umuachilie kwenye moyo maana ukiendelea kumfunga kwa kulilia , utaugua. sa naanzaje kuhuzunika huku nmetua mzigo.
Mumlii umeachwa na una nguvu ya kucheka.???
Mimi ile taqataqa ilivyoniacha nilikonda jamani nilikuwa sili wala silali..!!
Ila sahii ndiyo naona ni uphaller walaqhi', hivi Baba yangu anavyoniamini mwanajeshi wake, akijua uchiinga niliofanya nitaweka wapi sura yangu..?
 
Mumlii umeachwa na una nguvu ya kucheka.???
Mimi ile taqataqa ilivyoniacha nilikonda jamani nilikuwa sili wala silali..!!
Ila sahii ndiyo naona ni uphaller walaqhi', hivi Baba yangu anavyoniamini mwanajeshi wake, akijua uchiinga niliofanya nitaweka wapi sura yangu..??
WTF
 
Sasa utaona PM itakavojaa.
Hivi watu hua wanajilipuaje mpka wanapata bebez humu jf?
🙂🙂🙂🙂 subiri na mimi niwahi siibiiiii af niingie pm chap
 
Back
Top Bottom