Nimekuwa singo Kwa Miaka 8 sasa, nifanyaje?

Nimekuwa singo Kwa Miaka 8 sasa, nifanyaje?

I know, it has been a minute

Bado nimekuta maswali mengi inbox after been gone for 3 years

Sasa kuna MTU kakwama anaomba atolewe shimoni;

MTU: da penny, nimekuwa singo Kwa Miaka 8 sasa, nataka kurudi kwenye game
Naanzaje? Inakuwaje?

Naanzia wapi?

Haya wapendwa naomba mumsaidie kijana mwenzenu mwenye umri WA Miaka 33
Endelea kukaza
 
Yaani hata bado hajapata timu ya kumsajili halafu anatangaza kuhitaji kupewa na ukapten faster faster hivyo!?
Mwambie apige kwanza Ndondo Cup apate new challenges zilizopo kwa game kwa wakati huu…..
Utajuaje kama alishapigaga akaenda celibacy
 
I know, it has been a minute

Bado nimekuta maswali mengi inbox after been gone for 3 years

Sasa kuna MTU kakwama anaomba atolewe shimoni;

MTU: da penny, nimekuwa singo Kwa Miaka 8 sasa, nataka kurudi kwenye game
Naanzaje? Inakuwaje?

Naanzia wapi?

Haya wapendwa naomba mumsaidie kijana mwenzenu mwenye umri WA Miaka 33
Ina maana hiyo miaka yote alikuwa hatongozwi au ulikuwa msimamo wake wa kuwa single na sasa anahitaji mwanaume?
Kama ulikuwa msimamo wake maanaake alikuwa na malengo ya huo usingle na sasa ameshaachieve hapohapo pia alikuwa na back up plan kwanini anashindwa kuifanyia kazi njia aliyokuwa amejiamulia?
Vinginevyo kama ana changamoto ambazi wanaume kwao ni ngumu kumsogelea. Awe muwazi ili atakayemudu afungue milango.
 
Back
Top Bottom