emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,001
- 1,430
Aisee kama hupati muda wa kureview kutoboa written ya utumishi na halmashauri itakuwa ndoto. maswali magumu alafu unapewa dk 45, nmeyasoma nimeishia kuopaa njaa. Kwa wale fresher inawawia urahisi, tofauti na mjuba ulikuwa na mishe zako hata kinachoendelea nchini km vile hayakuhusu.
Kwenye viambatanisho ni mchanganyiko wa maswali ya written ya watendaji wa vijiji/mitaa yaliowahi kufanyika au possible kutoka halmashauri mbambali hapa nchini. Yamepigwa picha vibaya kwa sababu upatikanaji wake ni kimazabe
Kwenye viambatanisho ni mchanganyiko wa maswali ya written ya watendaji wa vijiji/mitaa yaliowahi kufanyika au possible kutoka halmashauri mbambali hapa nchini. Yamepigwa picha vibaya kwa sababu upatikanaji wake ni kimazabe