Nimekuwekea baadhi ya maswali ya written interview kwa mliomba utendaji wa kijiji/mtaa

Nimekuwekea baadhi ya maswali ya written interview kwa mliomba utendaji wa kijiji/mtaa

Labda uniambie shida yako ni nini boss maana nakuona sana hili swali Kila ninapocomment kwenye nyuzi za Ajira humu japo comment zingine ziko tofauti na Ajira Ila utaweka hili swali lako. Unataka pragram aliyesomea/alizosomea mtu za kazi gani .? Kana kwamba we ni HR wa institution yoyote na unagawa kazi hapo Ofisini, Ni members wote wa JF umewamaliza na kujua taaluma walizosomea AU shida ni nini haswa mkuu..? Naomba unijibu mkuu tena kwa hoja na tufunge mjadala kwa amani
Nakuuliza kwa wema tu coz huwa naona unasema mara umesomea kilimo mara sheria.so nashindwa kukuelewa kuwa ni mbobezi wa fani gani exactly?afu swali rahisi tu mbona hilo mkuu?nakuuluza mara kwa mara coz hujawahi kunijibu ungekua umewahi kunijibu nisingekua nakuuliza.
 
Nakuuliza kwa wema tu coz huwa naona unasema mara umesomea kilimo mara sheria.so nashindwa kukuelewa kuwa ni mbobezi wa fani gani exactly?afu swali rahisi tu mbona hilo mkuu?nakuuluza mara kwa mara coz hujawahi kunijibu ungekua umewahi kunijibu nisingekua nakuuliza.
Kwanini umeweka Kilimo na sheria wakati kozi ziko nyingi..? Na kama unaamini nimesema hivyo na unajua kipi kinakufanya uulize KILA WAKATI, unani-provoke au..?(Basi bila shaka Kuna kitu unakifahamu kutoka kwangu.. but regardless nimekujibu au sijakujibu we nikaushie sihitaji disturbance yoyote kutoka kwako, ikiwezekana quote zangu zikaushie tu Wala sio lazima uchangie mijadala na yangu na Wala haitakusaidia kwenye maisha yako au kupata kazi unazozitafuta, Nadhani umenielewa
 
Kwanini umeweka Kilimo na sheria wakati kozi ziko nyingi..? Na kama unaamini nimesema hivyo na unajua kipi kinakufanya uulize KILA WAKATI, unani-provoke au..?(Basi bila shaka Kuna kitu unakifahamu kutoka kwangu.. but regardless nimekujibu au sijakujibu we nikaushie sihitaji disturbance yoyote kutoka kwako, ikiwezekana quote zangu zikaushie tu Wala sio lazima uchangie mijadala na yangu na Wala haitakusaidia kwenye maisha yako au kupata kazi unazozitafuta, Nadhani umenielewa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Labda uniambie shida yako ni nini boss maana nakuona sana hili swali Kila ninapocomment kwenye nyuzi za Ajira humu japo comment zingine ziko tofauti na Ajira Ila utaweka hili swali lako. Unataka pragram aliyesomea/alizosomea mtu za kazi gani .? Kana kwamba we ni HR wa institution yoyote na unagawa kazi hapo Ofisini, Ni members wote wa JF umewamaliza na kujua taaluma walizosomea AU shida ni nini haswa mkuu..? Naomba unijibu mkuu tena kwa hoja na tufunge mjadala kwa amani
Hahaha eti walisema mtazania hujibu swali kwaswali Hana jibu la swali kwa jibu..,

Yaani swali kwa mtanzania ni uchawi mkubwa hasa haya ya personal hatari saana,,

Utasikia ukijua itakusaidia nini eh!!
 
Interviews zote za sirikali zama hizi ni kujibu tu "Mama anaupiga mwingi" na "CCM daima", na umepita. That is if hawana watu wao waliowachagua tayari of course.
 
Hahaha eti walisema mtazania hujibu swali kwaswali Hana jibu la swali kwa jibu..,

Yaani swali kwa mtanzania ni uchawi mkubwa hasa haya ya personal hatari saana,,

Utasikia ukijua itakusaidia nini eh!!
Kwahyo una shida gani labda naweza kukusaidia dogo
 
[emoji41]
450330424.jpg
 
Hivi hawa maslahi yao yakoje wakuu na posho zipo ??
Ni ajira ya kudumu ??
Unaweza Panda ngazi na kuwa afisa mtendaji kata (WEO) ??
 
Back
Top Bottom