Nimelala na wanawake 73 kutoka mwaka 2017 mpaka 2024

usijali hata kidogo, utampata aliye na bikra zote mbili.
 
Mbona wachache sana, una tatizo la nguvu za kiume?
 
Hao wanawake 73, umefaidika nini mpaka Sasa???, "Au ndo ule msemo wa furaha ya maskini ni Ngono".
Binafsi sina ushauri juu ya huo ufuska wako, 70+ ni ufaulu wa daraja la B nadhani. Hongera.
Uneza pata ila jitahidi sana upate mke anaegawa kwa kila mtu hapo mtaishi mda mrefu, tabia zikiendana mambo yanakua fresh niamimi mimi

usijali hata kidogo, utampata aliye na bikra zote mbili.
Samahani mkuu,

Una matatizo makubwa sana katika mfumo wako wa ubongo. Na kusihi wahi sasa kwa daktari akusaidie ukae sawa

Niamini mimi, asante.
Mbona wachache sana, una tatizo la nguvu za kiume?
😁😁😁😁

Wakuu nimesoma ushauri wenu, kumbe 73 ni idadi ya kawaida tu kwa mwanaume rijali na sio tatizo. Nilijiogopa nikajua mimi ni malaya kumbe sio!
 
Hio tabia ukiiendekeza na kuto kutumia kinga ni very risky.



Sisi wadau wa afya waandamizi yaan senior tunakupa R.I.P in advance.
 
Mental illness is real.
 
Sasa akose;
Kiatu
Siruali nzuri
Kiwanja
Nyumba
Pesa
Na kula mbususu asile?
Mwacheni ndio faraja yake😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…