Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba yule mtoto wake masu ndo kawa mkubwa?itakua unatoka ukoo wa insyuka..
Huyu jamaa aliyeleta mambo ya nsyuka ndo katuleta huku ... AiseeMasuuuuuu🤣.
Umenikumbusha mbali mkuu😂🙌
[emoji3][emoji3][emoji3]itakua unatoka ukoo wa insyuka..
😂😂😂Kwamba yule mtoto wake masu ndo kawa mkubwa?
Huyu jamaa aliyeleta mambo ya nsyuka ndo katuleta huku ... Aisee
Ahsante sanaPole sana mkuu
Sawa ahsante. Ila hujatoa mbadalaUmefanya jambo la i8pumbavu sana si mda utaanza kulia.mooo
Hujatoa ushauri wowote wa maana. HovyoNext time ukiudhiwa kata nyama ya kwenye paja/tako lako ule, ufyonze na damu.....
AhsanteUna majini niseme mapepo na hasira inatokana na shetani Sasa usijidhibiti utaishi jela maana ipo siku utatamani damu ya mtu unywe muombe Mungu akuondoshee hio hali maombi sana na mwanasaikolojia tafuta akusaidie.
Siku nyingine ukiwa na hasira jirushe kutoka ghorofa ya 10 hadi chiniHujatoa ushauri wowote wa maana. Hovyo
Ndiyo ulivyofundishwa hivyo... hunisumbui.Siku nyingine ukiwa na hasira jirushe kutoka ghorofa ya 10 hadi chini
Ndiyo mamaUmeacha kumkasirikia yule mwanamke wako?