Nimelazimika kula nyama mbichi ya ng'ombe leo. Madhara ni yapi?

Nimelazimika kula nyama mbichi ya ng'ombe leo. Madhara ni yapi?

Una majini niseme mapepo na hasira inatokana na shetani Sasa usijidhibiti utaishi jela maana ipo siku utatamani damu ya mtu unywe muombe Mungu akuondoshee hio hali maombi sana na mwanasaikolojia tafuta akusaidie.
 
Una majini niseme mapepo na hasira inatokana na shetani Sasa usijidhibiti utaishi jela maana ipo siku utatamani damu ya mtu unywe muombe Mungu akuondoshee hio hali maombi sana na mwanasaikolojia tafuta akusaidie.
Ahsante
 
Ika kula nyama mbicgi ni kawaida kwani simba huwa anayapikaga mawaindo yake
 
We vunga tu ukijiskia kuumwa nakushauri nenda hospitali
 
Sasa wewe nahisi upo hapa
Miaka 46-50 ni umri wa liwalo na liwe (hakunaga majuto hapa).

Nikushauri..
Acha utoto grow up. Sio kutwa kuangalia movie za kikorea, wale wanaigiza mzee🙌🙌
 
Back
Top Bottom