Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
- #281
Kamanda kunywa chai
Chakula au shonza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakula au shonza
Polisi wanaua wangapi Amerika kila siku ya Mungu? Wengi wao wakiwa wa rangi yako.
Wazungu wa Ulaya wanawaua wangapi kwenye Bahari ya Mediterania? Wakiwaacha watu wanao onekana kama wewe wakizama baharini. Alafu wewe unadai wazungu wakupende wewe kwa sababu wewe ni mtanzania kutoka Zanzibar. Aisee kafie mbali huko. Hatutaki kuuona mziga wako.
Empty set , empty head tabulalasa , education must be used for liberation not for oppression by Paul Freire . Wewe unashabikia kikundi cha wamwaga damu , magaidi ccm , waliojificha kwenye chama cha siasa kumbe wachumia tumbo magaidi watupu wamwaga damu ili kulinda vyeo na Mali walizofisadi kwa watanzania .Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Polisi wanaua wangapi Amerika kila siku ya Mungu? Wengi wao wakiwa wa rangi yako.
Wazungu wa Ulaya wanawaua wangapi kwenye Bahari ya Mediterania? Wakiwaacha watu wanao onekana kama wewe wakizama baharini. Alafu wewe unadai wazungu wakupende wewe kwa sababu wewe ni mtanzania kutoka Zanzibar. Aisee kafie mbali huko. Hatutaki kuuona mziga wako.
Empty set , empty head tabulalasa , education must be used for liberation not for oppression by Paul Freire . Wewe unashabikia kikundi cha wamwaga damu , magaidi ccm , waliojificha kwenye chama cha siasa kumbe wachumia tumbo magaidi watupu wamwaga damu ili kulinda vyeo na Mali walizofisadi kwa watanzania .