Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Hapa ndipo tulipofikia kimsingi ingekuwa enzi za JK au BWM ningewaambia ndugu zangu nimelazwa wodi gani kitanda namba ngapi ila kwa hali ilivyo humu humu jf mnipe pole inatosha.
Muhimbili ni kubwa ndio niko hapa moi kibasila mwaisela jakaya kikwete nk.
Walioko hapa tujuane jamani nawatakia mpone haraka Eid mubarak.
Muhimbili ni kubwa ndio niko hapa moi kibasila mwaisela jakaya kikwete nk.
Walioko hapa tujuane jamani nawatakia mpone haraka Eid mubarak.