🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🙌Hakuna mwenye muda na wewe..jiuguze tu
Pole! Nakutakia uponaji wa haraka!Hapa ndipo tulipofikia kimsingi ingekuwa enzi za jk au bwm ningewaambia ndugu zangu nimelazwa wodi gani kitanda namba ngapi ila kwa Hali ilivyo humu humu jf mnipe pole inatosha.
Muhimbili ni kubwa ndio Niko hapa moi kibasila mwaisela jakaya kikwete nk.
Walioko hapa tujuane jamani nawatakia mpone haraka Eid mubarak.
KwakweliHauna effect yoyote Ile mkuu..pona haraka
Haya pole jamani..ugua pole..ufuate utaratibu uliopewa na wauguzi ili upone haraka.Asante neno la faraja toka kwa mwanamke linaponya ila liumizalo huua