Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mkuu unapiga spana dadeki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna mwenye muda na wewe..jiuguze tu
Baba Swalehe kumbe ni mtu mwema 😍unajisikiaje sasa hivi?
Hali yako ipoje ?
umeweza kula.?
mi ni Doc broh but sio MNH@ba
Baba Swalehe kumbe ni mtu mwema [emoji7]
PoleHapa ndipo tulipofikia kimsingi ingekuwa enzi za jk au bwm ningewaambia ndugu zangu nimelazwa wodi gani kitanda namba ngapi ila kwa Hali ilivyo humu humu jf mnipe pole inatosha.
Muhimbili ni kubwa ndio Niko hapa moi kibasila mwaisela jakaya kikwete nk.
Walioko hapa tujuane jamani nawatakia mpone haraka Eid mubarak.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHakuna mwenye muda na wewe..jiuguze tu
Mnywa damu za watu? Ni nani unaemkusudia hapa, kuwa wazi mkuu?Pole sana, ila kuwa na amani maana watu wasiojulikana hawana time na wewe sababu huna affect yoyote kwao. Pia aliyekuwa mnywa damu za watu hayupo mamlakani tena