Nimelazwa Muhimbili ila sitaki mje mnione kwa kuogopa wasiojulikana

Pole
 
🤣🤣🤣🤣🤣 sometimes inabiddi mtu ucheke tu🙏🙏
Pole bwana mkubwa
 
Pole sana, ila kuwa na amani maana watu wasiojulikana hawana time na wewe sababu huna affect yoyote kwao. Pia aliyekuwa mnywa damu za watu hayupo mamlakani tena
Mnywa damu za watu? Ni nani unaemkusudia hapa, kuwa wazi mkuu?
Maana mimi inaniuma sana, mtaje tu tumshughurikie maana wengi wamepotea bila hatia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…