Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Matatizo mengi ya ndoa ni matokeo ya msingi au mwanzo mbovu. Hapo usipokuwa makini hata huyo dada aliyekuletea kesi, ukimuweka karibu utatoka naye.

Atakuwa anasema ukweli. Wanawake anasense kali sana. Ongea na mke wako. Mwambie aache hiyo tabia bila kujali anabisha au la. Ila baada ya kujiridhisha.
Mwambie ukweli akiendelea baada ya katazo hilo, akaolewe na huyo jamaa.

Usizunguke sana.
Kwamba kapigiwa then atoe onyo, daah..tumetofautiana sana, yaani nakuja kuchomeka mashine kwa kwa mke wangu ambaye kuna Jamaa kashapiga sana.
 
Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa

Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.

Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,

Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka

Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake

Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.


Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
Mle tiGo mkeo.
 
Back
Top Bottom