😂😂 Hili balaa ndoa utapeli, ndo dhuluma , ndoa wanachukua samani za ndani 😂Nawasihi washikilie hapohapo 😀😀hojazao Zina mashiko ni Utapeli 🤣🤣Sasa unafunga ndoa miak miwil unamuacha mume sawa humtaki ndo ubebe na kitanda mwenzio alale wapi🤣🤣
Ajira za ukuli zipo, nimempa kazi dalali Maulid Kitenge. Mcheki, sifa uwe na Masters au PhD.boss la DP world... toa ajira kwa vijana acha blah blah 😂😂 jokes mkuu
Sio wakati MWINGINE always tuna HOJA sisi tupo SAHIHI.Kwakweli ni shida
Kunarafikiyngu Jana wameachana na mkewe mke kasomba vitu vyote vya ndani ndoa Ina miak 2 na ni ya kanisani nimemuonea huruma sana
Kataa Ndoa Wana hoja wakat mwingine
Mungu mmoja
Mume mmoja
Mke mmoja.
Duh! Nn sababu ya kuachana, usaliti?Kwakweli ni shida
Kunarafikiyngu Jana wameachana na mkewe mke kasomba vitu vyote vya ndani ndoa Ina miak 2 na ni ya kanisani nimemuonea huruma sana
Kataa Ndoa Wana hoja wakat mwingine
😀😀Mmekuja kutetea hoja zenuSio wakati MWINGINE always tuna HOJA sisi tupo SAHIHI.
Kwakweli sijauliza niliomba aongee wayamalize akasema kaongea nae Zaid ya miez 4kaomba samahani zote kambeleza miez 4 wanaishi kama kaka na dada ni kupika na kula tu mwisho kaamua amuche aondoke kama anavotakaDuh! Nn sababu ya kuachana, usaliti?
Utapeli hauvumiliki kwa kweli. ndoa ni wizi😀😀Mmekuja kutetea hoja zenu
Unafkir atakuja Kuoa huyo.Kwakweli sijauliza niliomba aongee wayamalize akasema kaongea nae Zaid ya miez 4kaomba samahani zote kambeleza miez 4 wanaishi kama kaka na dada ni kupika na kula tu mwisho kaamua amuche aondoke kama anavotaka
Njoo tuoane mi nakutakaNishawaambia NDOA ni UTAPELI.
🤣🤣Haoi Tena aiseeUnafkir atakuja Kuoa huyo.
😀😀😀Oeni vijana mnazeeka mjueUtapeli hauvumiliki kwa kweli. ndoa ni wizi
Unasema..? "In Baba Levo's Voice" 😋Njoo tuoane mi nakutaka
kuwa makini huo ni mkakati wa kukutoa relini .Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa
Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.
Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,
Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka
Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake
Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.
Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
Mie bado MBICHI hata nipo kati kati ya 20 - 30. Yaan mie bado Mbichi.😀😀😀Oeni vijana mnazeeka mjue
NakutakaUnasema..? "In Baba Levo's Voice" 😋
Ubarikiwe, Nimepata kitu hapa.MAMBO YA MSINGI YA KUYAFAHAMU KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa.
3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema.
4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote.
5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu.
6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi.
7. Aina tatu za wanaume wakuepukwa:
(a) Walevi
(b) Wazinzi
(c) Wagomvi.
Aina tano za wanawake wa kuepukwa;
(a) Walevi
(b) Wazinzi
(c) Wachawi
(d) Wagomvi
(e) Wasio tii
8 .Kuolewa na Mchekeshaji hakutakufanya uwe na Ndoa yenye furaha.
9. Maneno matatu yanayojenga amani katika Ndoa:
(a) Nakupenda.
(b) Samahani.
(c) Asante.
10. Kupiga punyeto kwa mwanaume na kujichua kwa mwanamke ni kuharibu mwili wako mwenyewe.
11. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta, hamuwezi kufika popote.
12. Mafanikio ya Ndoa siku zote ni pembe tatu:
13. Furaha ya kudumu maishani hutegemea na chaguo lako la mwenzi katika Ndoa.
14. Usioe/kuolewa na pesa au mali. Oa/Olewa na mtu. Pesa/Mali hufilisika lakini utu hudumu milele.
15. Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko Ndoa isiyo na amani wala furaha.
16. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano mzuri wa mwanamke. Hakuna mwanamke mbaya, bali anahitaji kupendezeshwa.
17. Mapenzi si upofu. Upofu ni kuoa ama kuolewa na mwanamume/mwanamke kwa sababu tu anakidhi haja zako kingono.
18. Ukiwa rafiki mwema, utawavutia marafiki wema. Vivyo hivyo kwa marafiki wabaya.
19. Asili ya mikono inayojali ni moyo unaojali.
20. Iepuke Ndoa mbaya kabla haijaanza.
MUNGU AKUBARIKI ILI UPATE CHAGUO SAHIHI.