Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Hii ni story au hadithi?!!
 
Uzi ufungwe
 
Mtafute huyo dada ambaye ni mke wa mtu, mkae akueleze vizuri kisha kama ana ushahidi akupe na kama hana mtafute, tena ushahidi usio na shaka, ama mtege fumanizi mumfumanie kisha piga picha na video kisha wewe kaka uliyeletea hizo taarifa uamue usuke ama unyoe. Pia kumpoza huyo dada machungu na wewe kujipoza mtongoze na ummege ili iwe 1 kwa moja na sio moja bila kisha muendelee na maamuzi yenu, kama Mtaendelea na ndoa sawa kama mtaanchana pia ni sawa ila ni bora muendelee hasa kama mna watoto maana wanawake wa sasa ni mitihani unaweza ukaruka maji ukaenda kukanyaga moto kwa kupata mke mwingine ana tabia mbaya mara 2 ya huyo mkeo.
 
Muda wa kuelewa lyrics ni pale ukipigwa tukio ila hakuna tukio unainjoi mdundo kinachosemwa unapuuzia.

First impression na upendeleo vitenge unapoanza udadisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…