Nimelia kwa furaha baada ya kupata kazi ya Ualimu

Nimelia kwa furaha baada ya kupata kazi ya Ualimu

Joined
Oct 27, 2024
Posts
33
Reaction score
277
Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa.

Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu, aisse machozi yalinilenga sikudhani kama mwaka utakuwa na neema.

Naomba mniombee ndugu zangu, majukumu yangu tayaanza siku ya Jumatatu
 
Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa.

Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu, aisse machozi yalinilenga sikudhani kama mwaka utakuwa na neema.

Naomba mniombee ndugu zangu, majukumu yangu tayaanza siku ya Jumatatu
Hongera sana teacher. Lakini pole mno kwani naona aina fulani ya nyanyaso hapo kwenye mshahara. Au hiyo ni mojawapo ya "silent Interview" ???
 
Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nakupa heko kwa kuweza kuhitimu mafunzo.

Usi sikilize maneno ya watu, kwamba hio pesa ni ndogo, we mwenyewe nadhani una jua vyema jinsi vumbi la mtaa lilivyo zito.

Kikubwa jishikize hapo, huku uki piga kazi kwa juhudi, achana na msemo kidogo, maana hivyo vikubwa havi kuja kwa siku Moja.
 
Hio laki moja na nusu kwa sasa utaiona kubwa ila ukiingia tu kwenye majukumu ni ndogo balaa na itakupa stress zitakazopelekea uwachukie watoto wa watu(wanafunzi) jitahidi usitangaze kwa ndugu,jamaa na marafiki kuwa umepata ajira.
Labda Teacher ana malengo fulani.
 
Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa.

Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu, aisse machozi yalinilenga sikudhani kama mwaka utakuwa na neema.

Naomba mniombee ndugu zangu, majukumu yangu tayaanza siku ya Jumatatu
Nilitegemea utakuwa umelia kwa uchungu kutokana na hii dharau ya kiwango cha lami, kumbe ni celebration.. kweli nobody can stop Reggae
 
Back
Top Bottom