Nimelia kwa furaha baada ya kupata kazi ya Ualimu

Nimelia kwa furaha baada ya kupata kazi ya Ualimu

Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa.

Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu, aisse machozi yalinilenga sikudhani kama mwaka utakuwa na neema.

Naomba mniombee ndugu zangu, majukumu yangu tayaanza siku ya Jumatatu
Mimi nimekuelewa. Hapo ulipoandika "laki moja na nusu" ni dongo tosha kwa Mpwayungu Village .
 
Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nakupa heko kwa kuweza kuhitimu mafunzo.

Usi sikilize maneno ya watu, kwamba hio pesa ni ndogo, we mwenyewe nadhani una jua vyema jinsi vumbi la mtaa lilivyo zito.

Kikubwa jishikize hapo, huku uki piga kazi kwa juhudi, achana na msemo kidogo, maana hivyo vikubwa havi kuja kwa siku Moja.
Oyaa mkuuu welcome back
 
Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa.

Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu, aisse machozi yalinilenga sikudhani kama mwaka utakuwa na neema.

Naomba mniombee ndugu zangu, majukumu yangu tayaanza siku ya Jumatatu
Lucas Mwashambwa
 
Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nakupa heko kwa kuweza kuhitimu mafunzo.

Usi sikilize maneno ya watu, kwamba hio pesa ni ndogo, we mwenyewe nadhani una jua vyema jinsi vumbi la mtaa lilivyo zito.

Kikubwa jishikize hapo, huku uki piga kazi kwa juhudi, achana na msemo kidogo, maana hivyo vikubwa havi kuja kwa siku Moja.
Nanukuu: "Usi sikilize maneno ya watu, kwamba hio pesa ni ndogo, we mwenyewe nadhani una jua vyema jinsi vumbi la mtaa lilivyo zito".
Mwl. wa Bios? hajafanya hesabu na kubaini kwamba huo mshahara wa laki moja u'nusu ni Tzs. elfu Tano kwa siku.
Kama Mwl. anaishi na wazazi au ndg. labda anaweza kumudu maisha. Lakini kama anajitegemea, sijui ataishije. Hebu tuone hesabu lake🙁Theoretical):
1. Chai au kifungua kinywa asb. shs. 500/=
2. Chakula Mchana Shs 1,000/=
3. Chakula jioni shs.1,000/=
4. Umeme (tariff 0) kwa siku shs 300/=
5. Kodi ya pango kwa siku (chumba cha 50,000 kwa mwezi)Tzs. 1,500/=
6. Maji ya kunywa (maji chapa Uhai) Lita 1 kwa siku 500/=
7. Nishati(Mkaa wa kupikia fungu moja) shs 200/=
Hadi hapo ukijumlisha Tshs. 5000/= kwa siku zimeisha.
Je, Anakaa karibu na shule ili atembee kwa mguu asilipe nauli?
Je, haogi au kufua nguo ili tuseme hatohitaji sabuni?
Je, Hana simu ili tuseme hatonunua vocha?
Kwa maoni yangu, Naona kwa mshahara huo; mwl. atadhalilika mahali.
 
Hivi wacheza mpira hasa wa simba na yanga huwa wamo humu jf
 
Nyie walimu njaa zinawafanya mzidi kudharaulika
 
Daaaah....
"we listen but we don't judge"...
 
Mungu akutangulie na usisahau kutafuta fursa zaidi! Hongera sana.
 
A
Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa.

Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu, aisse machozi yalinilenga sikudhani kama mwaka utakuwa na neema.

Naomba mniombee ndugu zangu, majukumu yangu tayaanza siku ya Jumatatu
A FEW MOMENTS LATER,,,,
 
Hio laki moja na nusu kwa sasa utaiona kubwa ila ukiingia tu kwenye majukumu ni ndogo balaa na itakupa stress zitakazopelekea uwachukie watoto wa watu(wanafunzi) jitahidi usitangaze kwa ndugu,jamaa na marafiki kuwa umepata ajira.
Sasa utajifichaje?
 
Back
Top Bottom