Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mimi nimekuelewa. Hapo ulipoandika "laki moja na nusu" ni dongo tosha kwa Mpwayungu Village .Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa.
Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu, aisse machozi yalinilenga sikudhani kama mwaka utakuwa na neema.
Naomba mniombee ndugu zangu, majukumu yangu tayaanza siku ya Jumatatu
Oyaa mkuuu welcome backMimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nakupa heko kwa kuweza kuhitimu mafunzo.
Usi sikilize maneno ya watu, kwamba hio pesa ni ndogo, we mwenyewe nadhani una jua vyema jinsi vumbi la mtaa lilivyo zito.
Kikubwa jishikize hapo, huku uki piga kazi kwa juhudi, achana na msemo kidogo, maana hivyo vikubwa havi kuja kwa siku Moja.
Thanks buddha, I mean no malice to nobodyOyaa mkuuu welcome back
Ulipotea ghaflaThanks buddha, I mean no malice to nobody
Majukumu yali kuwa mengi, lakini pia nili pata majaribu kidogoUlipotea ghafla
kuna jamaa alisema ulipata accident chuga pole sana mkuuMajukumu yali kuwa mengi, lakini pia nili pata majaribu kidogo
Haikuwa chuga kaka, nashukuru Sana.kuna jamaa alisema ulipata accident chuga pole sana mkuu
Haina noma aiseHaikuwa chuga kaka, nashukuru Sana.
Lucas MwashambwaSiku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa.
Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu, aisse machozi yalinilenga sikudhani kama mwaka utakuwa na neema.
Naomba mniombee ndugu zangu, majukumu yangu tayaanza siku ya Jumatatu
Nanukuu: "Usi sikilize maneno ya watu, kwamba hio pesa ni ndogo, we mwenyewe nadhani una jua vyema jinsi vumbi la mtaa lilivyo zito".Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nakupa heko kwa kuweza kuhitimu mafunzo.
Usi sikilize maneno ya watu, kwamba hio pesa ni ndogo, we mwenyewe nadhani una jua vyema jinsi vumbi la mtaa lilivyo zito.
Kikubwa jishikize hapo, huku uki piga kazi kwa juhudi, achana na msemo kidogo, maana hivyo vikubwa havi kuja kwa siku Moja.
Hata mm nilifikiri hivyo.Mimi nimekuelewa. Hapo ulipoandika "laki moja na nusu" ni dongo tosha kwa Mpwayungu Village .
A FEW MOMENTS LATER,,,,Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa.
Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu, aisse machozi yalinilenga sikudhani kama mwaka utakuwa na neema.
Naomba mniombee ndugu zangu, majukumu yangu tayaanza siku ya Jumatatu
Sasa utajifichaje?Hio laki moja na nusu kwa sasa utaiona kubwa ila ukiingia tu kwenye majukumu ni ndogo balaa na itakupa stress zitakazopelekea uwachukie watoto wa watu(wanafunzi) jitahidi usitangaze kwa ndugu,jamaa na marafiki kuwa umepata ajira.