Asante sana Mkuu!! A town inamatukio sana...
Hahahaha karibu sana mkuu kiwatengu hapa kwetu aise
Huku hakuna mambo ya gesi bana
mambo ya huku ni ya kichalii aise
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana Mkuu!! A town inamatukio sana...
Kuna mshikaji mmoja, alinitembelea Mtwara, basi ile kujimix kitaa siku mbili tatu karudi na ma concept kibao ooh mademu wa mtwara simple sana et vers 1 tu anaingia kingi.
Asijisifu sana leo na mimi nimeprove hapa A.town! wa hapa ni wepesI zaidi!....
oh! bas nina bahat mbaya, sijakutana na mgumu! unalosema linawezekana pia..karibu Mtwara wagumu pia wapo
Mkuu nilitaka kupiga picha tukio moja, washkaji wakamind sana!!
Kamanda! mi mwenyewe hard copy! sema ndiyo hivyo yani..kiumbe yeyote angeshika device yangu! 2ngetengeneza tukio jingine pale!
nimepita town kati, sokon kule! mi mtego wangu ulinasia pale bank NMB Market branch, du! mdada kaingia kingi kirahisi sana! ila nimependa sana lunch tuliyopata pale a new studium bar!
Aisee! ameline..basi 2 hujameet na mimi! mi sio mlaini, kama akili ninazo! kuninanga sio rahisi hata kidogo!
Mkuu utakua umeng'oa yale madude yetu yanayojipangaga mitaa fulani.....Kuna mshikaji mmoja, alinitembelea Mtwara, basi ile kujimix kitaa siku mbili tatu karudi na ma concept kibao ooh mademu wa mtwara simple sana et vers 1 tu anaingia kingi.
Asijisifu sana leo na mimi nimeprove hapa A.town! wa hapa ni wepesI zaidi!....
Afu mkuu, leo kuna tukio moja nimelishuhudia pale NMB Market branch, kuna jamaa kapigwa sana raia, sema polisi wakawahi kum'beba. aisee ilikuwa noma!