Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmmmmh!kwa hiyo unakubaliana na heading yake........mtu akifika bei basi
Next time ya wakati mwingine ukija hapana toa siri za watu! Ingekuwa ivo kila tuendako tunatoa siri pangeenea kweli hapa jamvini? BADILIKA, KWANI UDHAIFU WA MMOJA HAUMAANISHI WOTE NDIVYO WALIVYO. Nimemaliza!
eti mgumu.......umetumia kigezo gani kujiita mgumu.....
eti eeeeh!nani aliyekuambia ilo swali...afu mbona umejibu kama si swali.....acha kujitoa ufahamuhilo si swali uliza swali
lakini si mumesema wakina nyie wa bei kalisijakubaliana nae hata kidogo,ye kakutana na changu labda wale wenzetu muda wote wapo kibusness zaidi,ila wadada wa kawaida na heshima zao atamaliza soli na bado atatoka mtupu hata busu hapati
weeee!tukalie mbali baba,utakua umenasa kwa changu bila shaka,kina cc wa bei ghali
lakini si mumesema wakina nyie wa bei kali
si unajua wengine bila kubisha kidogo hatujajisikia raha.....just kuchangamsha kijiwe......wasalimie pande za njiro,unga, moshono,kijenge,majengo....n.k...popote ulipowa bei ghali min c wa rahisi kama alivyo mention bro kaka,we nae usijifanye huelewi loooo
si unajua wengine bila kubisha kidogo hatujajisikia raha.....just kuchangamsha kijiwe......wasalimie pande za njiro,unga, moshono,kijenge,majengo....n.k...popote ulipo
unataka kusema naye ni maharage ya mbeya passion lady njoo hukupassion lady, she cant be as she say..
umeenda mrina nini mkuu...
unataka kusema naye ni maharage ya mbeya passion lady njoo huku
sikumlipizia kwa lengo baya..ila ajue tu!, women in this world they are almost the same..
mkuu kiwatengu bibie passion lady yeye ni mchumba wa mtuWe kiwatengu ww,unanitaka ubaya hivi hivi,mpalu hebu mwambie mimi ni wa aina gani alaaaa!staki maneno,kwanza mi mchumba wa mtu!
mkuu kiwatengu bibie passion lady yeye ni mchumba wa mtu
kwani uyo Loya ni hakimu mkazi au mkuu wa kituo au ni mkuu wa gerezabora useme,tena mchumba wa loya tutamsweka lupango ohooooo!
kwani uyo Loya ni hakimu mkazi au mkuu wa kituo au ni mkuu wa gereza