Nimeligundua Leo: Mademu wa Arusha city hawatofautiani, na wa Mtwara kwetu.

Nimeligundua Leo: Mademu wa Arusha city hawatofautiani, na wa Mtwara kwetu.

On your dream...Haya sasa sijui umefaidikaje...kwa taharifa yako KWA MSOLWA wanaishi wageni tu tena wa Kabila lako....Ndio maana ikawa rahisi munooo.

Acha uongo wewe!! wamakonde sio wengi kwa msola. unadanganya!
 
Haki ya nani...sikuwezi..lol!

Uongo hujitenga na ukweli ndugu, we unataka kuniambia njiro inawenyeji wengi wa mtwara? (makonde, makua or yao)..si kweli hata kidogo, japokuwa kule kuna mchanganyiko wa wengi.
 
On your dream...Haya sasa sijui umefaidikaje...kwa taharifa yako KWA MSOLWA wanaishi wageni tu tena wa Kabila lako....Ndio maana ikawa rahisi munooo.

lachicaguapa asnte kwa jibu zuuuri ulilompa kiwatengu!nadhani sasa ameelewa
 
Mh thijui? Kwandha thidhani! Thababu wa A twidhi wajanja na jeuri kibao. Labda kama utakuwa unaongea na petha
 
Kuna mshikaji mmoja, alinitembelea Mtwara, basi ile kujimix kitaa siku mbili tatu karudi na ma concept kibao ooh mademu wa mtwara simple sana et vers 1 tu anaingia kingi.
Asijisifu sana leo na mimi nimeprove hapa A.town! wa hapa ni wepesI zaidi!....

Usikute hao mademu umeenda kuchukua bar au shivers halafu ndio unakuja kujisifia hapa.
 
haya mengine ni matatizo makubwa ewe ana akili zako unafikiri demu ukimuonesha msimbazi atakaa kuwa na wewe atakuchuna hadi senti ya mwisho ndo utaona cha mtema kuni thubutu uje tangaa tutakutoa na roho yako pia yaani tutachukua vyote kisha tutakuacha kweupe umeondoka kwenda huko chini
Kuna mshikaji mmoja, alinitembelea Mtwara, basi ile kujimix kitaa siku mbili tatu karudi na ma concept kibao ooh mademu wa mtwara simple sana et vers 1 tu anaingia kingi.
Asijisifu sana leo na mimi nimeprove hapa A.town! wa hapa ni wepesI zaidi!....
 
Back
Top Bottom