Nimelima ekari tano za mihogo, itakuwa tayari kwa mavuno mwezi wa Ramadhani

Nimelima ekari tano za mihogo, itakuwa tayari kwa mavuno mwezi wa Ramadhani

Ekari tano kulima ilinigharimu laki nne, nilipata vijana wanne kwa makubaliano unawapa sehemu ya kulala, wanatembea na kapu lao ndani wana sufuria. Wanaamaka asubuhi wanakwenda kulima mpaka saa tano wamemaliza. Wakirudi wanapika chakula chao wenyewe. Iliwachukua siku tatu kumaliza ekari tano na kila mtu alishika laki yake mkononi.

Tulipanda mwezi November, palizi tumemaliza wiki iliyopita. Palizi ilichukua laki mbili. Kuna wanunuazi wameomba kuchukua shamba kwa milioni tatu. Hili bado sijaafikiana nao. Ninataka kuuza rejareja kwa watakao hitaji ya iftar.

Shamba liko katika barabara kuu kwahiyo changamoto ya usafiri sina. Faida nyingine ni kula kisamvu, baada ya palizi tumeanza kula kisamvu na kitamu sana.
Chondechonde usiwauzie wajanja wa mjini sitasahau walimliza dada mmoja mjane aliamua auze ili apate ada ya watoto, kilichomtokea si yeye hata Mimi sitosahau, jamaa walikuja na Fuso wakaanza kuvuna mihogo Fuso halijai heka ya kwanza, ya pili, ya tatu na mihogo imeishia nusu ya gari, mwisho dada wa watu akawaambia basi acheni wakang'ang'ania kuvuna mwisho akawaambia na hela yenu msinipe nikama nimewalimia ninyi. Sio hadithi hii ilitokea chanika miaka ya nyuma 2006, nadhani Sasa watakuwa wameongeza utaalam zaidi wa kuwaibia wakulima.
 
Ekari tano kulima ilinigharimu laki nne, nilipata vijana wanne kwa makubaliano unawapa sehemu ya kulala, wanatembea na kapu lao ndani wana sufuria. Wanaamaka asubuhi wanakwenda kulima mpaka saa tano wamemaliza. Wakirudi wanapika chakula chao wenyewe. Iliwachukua siku tatu kumaliza ekari tano na kila mtu alishika laki yake mkononi.

Tulipanda mwezi November, palizi tumemaliza wiki iliyopita. Palizi ilichukua laki mbili. Kuna wanunuazi wameomba kuchukua shamba kwa milioni tatu. Hili bado sijaafikiana nao. Ninataka kuuza rejareja kwa watakao hitaji ya iftar.

Shamba liko katika barabara kuu kwahiyo changamoto ya usafiri sina. Faida nyingine ni kula kisamvu, baada ya palizi tumeanza kula kisamvu na kitamu sana.
Patana nao au chukua hellaa hii biashara ina tabia ya kushuka bei kadri muda wa mavuno unvyoendelea

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
Ekari tano kulima ilinigharimu laki nne, nilipata vijana wanne kwa makubaliano unawapa sehemu ya kulala, wanatembea na kapu lao ndani wana sufuria. Wanaamaka asubuhi wanakwenda kulima mpaka saa tano wamemaliza. Wakirudi wanapika chakula chao wenyewe. Iliwachukua siku tatu kumaliza ekari tano na kila mtu alishika laki yake mkononi.

Tulipanda mwezi November, palizi tumemaliza wiki iliyopita. Palizi ilichukua laki mbili. Kuna wanunuazi wameomba kuchukua shamba kwa milioni tatu. Hili bado sijaafikiana nao. Ninataka kuuza rejareja kwa watakao hitaji ya iftar.

Shamba liko katika barabara kuu kwahiyo changamoto ya usafiri sina. Faida nyingine ni kula kisamvu, baada ya palizi tumeanza kula kisamvu na kitamu sana.
Hongera sana kwa uthubutu mkuu, napenda kufaham hii laki nne ilijumlisha na hela ya mbegu? Na vipi gharama za kupanda zlikuaje?
 
Hongera sn kwa uthubutu mkuu, napenda kufaham hii laki nne ilijumlisha na hela ya mbegu? Na vipi gharama za kupanda zlikuaje?
Mbegu nililetewa mizigo 40 kwa 8,000 mzigo mmoja
 
Ekari tano kulima ilinigharimu laki nne, nilipata vijana wanne kwa makubaliano unawapa sehemu ya kulala, wanatembea na kapu lao ndani wana sufuria. Wanaamaka asubuhi wanakwenda kulima mpaka saa tano wamemaliza. Wakirudi wanapika chakula chao wenyewe. Iliwachukua siku tatu kumaliza ekari tano na kila mtu alishika laki yake mkononi.

Tulipanda mwezi November, palizi tumemaliza wiki iliyopita. Palizi ilichukua laki mbili. Kuna wanunuazi wameomba kuchukua shamba kwa milioni tatu. Hili bado sijaafikiana nao. Ninataka kuuza rejareja kwa watakao hitaji ya iftar.

Shamba liko katika barabara kuu kwahiyo changamoto ya usafiri sina. Faida nyingine ni kula kisamvu, baada ya palizi tumeanza kula kisamvu na kitamu sana.
Ingekuwa enzi za mwendazake huu ndio ungekuwa mwanzo wa kutekwa na yale majamaa
 
Kuna pahala umesema unachuma KISAMVU... huwa nafahamu Muhugo ulochumwa KISAMVU hufanya MUHOGO kuwa Mchungu na sehemu zingine haufungi kabisaa
 
Tumebakisha less than 3 weeks heading into HOLY MONTH OF RAMADHANI... nashindwa kukuhakikishia km Mihogo yk itakuwa tayari coz sijajua umepanda mbegu gani
 
Kuna pahala umesema unachuma KISAMVU... huwa nafahamu Muhugo ulochumwa KISAMVU hufanya MUHOGO kuwa Mchungu na sehemu zingine haufungi kabisaa
Sijalifaniya uchunguzi hili, lakini ninakumbuka tulipanda miti ya mipira special kwa kuchuma kisamvu miaka mingi iliyopita.
 
Kuna pahala umesema unachuma KISAMVU... huwa nafahamu Muhugo ulochumwa KISAMVU hufanya MUHOGO kuwa Mchungu na sehemu zingine haufungi kabisaa
Inategemea na mchumaji mkuu, kisamvu cha mihogo kwa usalama zaidi inatakiwa achume mwanaume,
Hata kunde na mazao mengineyo ya mboga inatakiwa achume mwanaume, usiruhusu hata siku moja achume mwanamke au binti maana huwezi juwa yupo kwenye hali gani

Ila kisamvu cha mihogo ni kitamu asikwambie mtu
 
Inategemea na mchumaji mkuu, kisamvu cha mihogo kwa usalama zaidi inatakiwa achume mwanaume,
Hata kunde na mazao mengineyo ya mboga inatakiwa achume mwanaume, usiruhusu hata siku moja achume mwanamke au binti maana huwezi juwa yupo kwenye hali gani

Ila kisamvu cha mihogo ni kitamu asikwambie mtu
Daaaah.
Dada Sky Eclat njoo tena
 
Back
Top Bottom