Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
We mwenyewe ni Kunguru wa Manzese. Ungekuwa Kunguru wa Kibondo au Simbiti ningeelewa hoja yako.Tabia yenu Wanaume wa Dar wengi kupenda kula ftari la chapati ,tambi ,andazi
Na kuacha kula mazao ya mizizi kama mihogo ,magimbi, viazi nk muache hio tabia