We mwenyewe ni Kunguru wa Manzese. Ungekuwa Kunguru wa Kibondo au Simbiti ningeelewa hoja yako.Tabia yenu Wanaume wa Dar wengi kupenda kula ftari la chapati ,tambi ,andazi
Na kuacha kula mazao ya mizizi kama mihogo ,magimbi, viazi nk muache hio tabia
Manzese tumejitenga kule kupo ma hardcoreWe mwenyewe ni Kunguru wa Manzese. Ungekuwa Kunguru wa Kibondo au Simbiti ningeelewa hoja yako.
Tunaomba mrejesho bimkubwaEkari tano kulima ilinigharimu laki nne, nilipata vijana wanne kwa makubaliano unawapa sehemu ya kulala, wanatembea na kapu lao ndani wana sufuria. Wanaamaka asubuhi wanakwenda kulima mpaka saa tano wamemaliza. Wakirudi wanapika chakula chao wenyewe. Iliwachukua siku tatu kumaliza ekari tano na kila mtu alishika laki yake mkononi.
Tulipanda mwezi November, palizi tumemaliza wiki iliyopita. Palizi ilichukua laki mbili. Kuna wanunuazi wameomba kuchukua shamba kwa milioni tatu. Hili bado sijaafikiana nao. Ninataka kuuza rejareja kwa watakao hitaji ya iftar.
Shamba liko katika barabara kuu kwahiyo changamoto ya usafiri sina. Faida nyingine ni kula kisamvu, baada ya palizi tumeanza kula kisamvu na kitamu sana.
Mbona mrejesho analeta kwa ku LIKE kila sikuSky Eclat mama etu wa nguvu mrejesho tafadhari
Naona atakuwa bado anakokotoa hisabu ya mapato na matumizi ili aje na mrejesho ulioshiba.
Mama yetu huyu kwa msio mjua huwa ni kama motivation speaker. Utakuta anasema vitu vingii, utadhani kweli anafanya, kumbe kaja tu hapa ku-socialize. Yeye yupo zake nje ya nchi Uzunguni anakula maisha. Sasa hizi kazi za wavuja jasho ataziwezea wapi?Naona atakuwa bado anakokotoa hisabu ya mapato na matumizi ili aje na mrejesho ulioshiba.
nmejikuta nmecheka hatar [emoji1][emoji1][emoji1]
- Stir together the flour and salt. Make a well in the centre and add 5–6 tablespoons of lukewarm water with the oil. Using your hands, bring the dough together into a ball. Turn out onto a work surface and knead for 5–10 minutes, wrap in cling film and leave to rest for 20 minutes.
- Divide the dough into four portions and roll into small balls. Dust a work surface with a little flour. Roll out each ball until around 18cm/7in in diameter, around 2–3mm/⅛in thick.
- Dry-fry over a medium heat for 20 seconds, pressing lightly with a spatula. Flip over and cook on the other side for 20 seconds, or until the tortilla is cooked, but remains soft and pliable. Repeat with the remaining three tortillas.
Walimwibiaje?Chondechonde usiwauzie wajanja wa mjini sitasahau walimliza dada mmoja mjane aliamua auze ili apate ada ya watoto, kilichomtokea si yeye hata Mimi sitosahau, jamaa walikuja na Fuso wakaanza kuvuna mihogo Fuso halijai heka ya kwanza, ya pili, ya tatu na mihogo imeishia nusu ya gari, mwisho dada wa watu akawaambia basi acheni wakang'ang'ania kuvuna mwisho akawaambia na hela yenu msinipe nikama nimewalimia ninyi. Sio hadithi hii ilitokea chanika miaka ya nyuma 2006, nadhani Sasa watakuwa wameongeza utaalam zaidi wa kuwaibia wakulima.
Kwa hiyo mpaka hapo niMbegu nililetewa mizigo 40 kwa 8,000 mzigo mmoja
Ingia shambani usilimie hewaniKwa hiyo mpaka hapo ni
Mbegu 320,000
Kulima 400,000
Palizi 200,000
JUMLA 920,000
Ofa 3,000,000
Ukikubali ofa, faida 2,080,000
Je imechukua miezi mingapi toka upande mpaka ulipopata ofa ya Tshs. 3,000,000?
Vipi hakuna gharama za wadudu waharibifu au ulinzi wa shamba dhidi ya wezi?
uko wapiMi naomba unialike nije "kula Kisamvu"....Pia naweka order ya mihogo, gunia moja kubwa, ikishakuwa tayari.
Niko Hapa Mkuu.....vipi "kisamvu" kiko tayari nije kula?uko wapi
Watu wa pwani wakisema kisamvu kitamu ,tunajiuliza sana maana iswahili chenu kigumuInategemea na mchumaji mkuu, kisamvu cha mihogo kwa usalama zaidi inatakiwa achume mwanaume,
Hata kunde na mazao mengineyo ya mboga inatakiwa achume mwanaume, usiruhusu hata siku moja achume mwanamke au binti maana huwezi juwa yupo kwenye hali gani
Ila kisamvu cha mihogo ni kitamu asikwambie mtu