Nimelima nyanya heka 1 nimepata faida ya Tsh. Milioni 9 ndani ya miezi minne

Nimelima nyanya heka 1 nimepata faida ya Tsh. Milioni 9 ndani ya miezi minne

Mkuu hayo sitaweza kuyaandika yote hapa inshort nimesema gharama ni m3 faida m9 na nikasema nilitegemea nipate m15+ lkn Kuna mbegu ilini Felisha. Kama unahitaji kujifunza zaidi. Naweza Endelea kukupa madini hasa Kwa kukuuliza wewe unahitaji kulima kiasi Gani na mtaji wako upoje. Ahsantee sana
Asante kwa kutoa fursa ya kuulizwa...

Mimi nahitaji kulima mkoa wa katavi, hao wateja wa rwanda kenya na uganda hufika huko?
 
JF wasaalam 🙏

Kama unataka mali utaipata shambani.

Nianze kuwaomba vijana na sio kuwashauri maana kama kushauriwa mmeshauriwa sana hadi basi lakini hambadiliki.

Mimi nami ni kijana mwenye miaka 30+ hivi hiki nachokisema ni kweli na nimekifanya mwenyewe.

Uzi utakuwa mrefu kidogo vumilia tujifunze kitu.

Najua umesoma una elimu yako au pengine una kazi yako (ajira) unaingiza kiasi fulani cha pesa hii ni nzuri.

Lakini kamwe haikufanyi usijishughulishe na kuwaza nje ya box!

Binafisi mimi ni muajriwa wa company flani ya madini hapa Tanzania nipo kwenye mgodi mkubwa tu. Malipo yapo vizuri pia ukilinganisha na sector zingine.

Naowamba rafiki zangu huo ufahari mliojipatia kwenye mitandao ya kijamii uvueni na vaeni uhalisia wa maisha yenu.

Mara nyingi tunabishana humu kijana anakuambia tecno, Huawei,nk eti sio simu hizo Ili hali hata kwenye bandiko lake unatumia simu hiyohiyo

Lakini kiuhalisia maisha yako yanazidiwa mbali na mtu anayemiliki hiyo simu.

Kijana kuwa na vitu vya gharama usivyofaidika navyo ni hasara rafiki yangu.

Kama una mtaji hata kidogo tu usisite au hata uza hiyo simu yako ingia kwenye kilimo ukiwa na mtaji hata 600k-1000k ni kianzio kizuri mno na simu nzuri utanunua humo.

Tarehe 7/3/2024 nilipandikiza nyanya zangu na mwishoni mwa mwezi wa5 nikaanza mavuno ya nyanya.

Gharama nilizotumia ni m
Tsh. Milioni 3 tu ikiwa pamoja na vijana wenzangu wa kazi, madawa, mbolea na vifaa vya kazi kama majembe solo nk.

Hii nimepata hasara makadilio ilikuwa nipate faida walau 15+ Hivi

Na hii ilitokana na bei kuwa chini, vilevile Kuna mbegu nilinunua Kwa mkulima mwenzangu baada ya kwangu kutokuota vzr na hivyo kupeleka kuhitaji mbegu haraka iliyo tiyari kupandwa. ndipo nilipo nunua Ili niweze kumalizia sehemu iliyopelea.

Pamoja na hayo hii miezi 4 kupata Milioni 9 faida na kazi yangu na fanya sio Hela kidogo. Ni faida kwangu.

Saivi issues kuhusu wateja sio ya kuuliza tena wanyarwanda,waganda na wakenya wanafika hadi shambani kwako wanachukua mzingo na kupewa cash yako na wanaacha na hela ya andvance usiuuze kwa mwingine ila uwe na mzigo wa maana tu.

Na shangaa mno vijana ku fake maisha yasiyo Yako asee.

SISEMI UONGO!
Kwa sasa nina miaka 3 bila kufika Dar na wala Sina mpango wa kuja dar Kwa sababu Sioni kipya cha kunileta Dar.

Sana sana napoteza muda wangu tu bure pamoja na hela. Japo wapo wenzangu na wadogo zetu wasio jitambua wao Kila off wanaenda Dar tena kwa ndege ukiangalia wanachoenda fanya ni kula bata.

Tena wanasimuliana amelala na wanawake wa hadhi gani na wanaonyeshana picha!

Kumbuka sisi tunatinga siku 7 day night siku7 then off siku7 (mapumziko)

Hicho ndo huwa kina wa
Peleka Dar! Unabaki kuwaonea huruma tu kujenga hawajajenga nk.

Simu walizo nazo Sasa utacheka simu kubwa ya thamani kuliko Gm (general manager) wa hapa mgodini!

Ni sawa hatuwezi kupangiana maisha lakini kumbuka kesho utakuwa na familia na pia uzee upo mbioni!!

Kwa Sasa vitu vyangu naagiza online Dar hadi nilipo kwa gharama ya 10k au 20k naokoa zaidi ya 300k ya nauli chakula na malazi.

Ninayo mengi sana ya kusema lakini kilimo kinalipa sana.

Hasara ipo kila sehemu asee iwe biashara ufugaji nk. Nilichojifunza tusikate tamaa tu.

Nimewahi kuagiza vifaranga vya kuku 400 asee vilkufa nikabaki na kuku 17 tu kati ya hizo nilizani nimelogwa hadi siku Moja nipo mitandaoni nadhurula nikaona clip ya jamaa analia kuku wake zaidi 10 Elfu wamekumbwa na mafuriko na kufa wote nilimuonea huruma na kujifunza Somo hapo!

Nikaja kuagiza vifaranga 500 walikufa 17 ikawa kinyume chake hadi nauza nilikuwa na kuku 478. (Wengine nilikuwa najipongeza)

Na niliuza Kwa 18,000/=Kila kuku bei ya load wanaita.

Ndani ya miezi 4 na wiki3 tu walikuwa kroiler na nilinunua AKM huko huko Daslam .

Kwenye kupambana tegemea lolote. Visa kadhaa nitakuwa naleta Kwa comment hapo chini

Ahsanteni.

View attachment 3050886View attachment 3050892
Hongera sana mkuu,maneno Yako mazuri
 
Mkuu hayo sitaweza kuyaandika yote hapa inshort nimesema gharama ni m3 faida m9 na nikasema nilitegemea nipate m15+ lkn Kuna mbegu ilini Felisha. Kama unahitaji kujifunza zaidi. Naweza Endelea kukupa madini hasa Kwa kukuuliza wewe unahitaji kulima kiasi Gani na mtaji wako upoje. Ahsantee sana
Lakini umepoteza mda mwingi kuwananga vijana wanaokula maisha yao ya dar na simu ghali
Uzi ulikuwa nyanya ila ukabadilika mengine
Sasa jaribu kuongeza nyama kwenye nyanya
 
Hujalima kitu Mkuu, acha longolongo za kukaa na ouanza kutunga maneno. Mkulima akiandika katika sentensi zake unajua huyu ni mkulima na kalima
JF wasaalam 🙏

Kama unataka mali utaipata shambani.

Nianze kuwaomba vijana na sio kuwashauri maana kama kushauriwa mmeshauriwa sana hadi basi lakini hambadiliki.

Mimi nami ni kijana mwenye miaka 30+ hivi hiki nachokisema ni kweli na nimekifanya mwenyewe.

Uzi utakuwa mrefu kidogo vumilia tujifunze kitu.

Najua umesoma una elimu yako au pengine una kazi yako (ajira) unaingiza kiasi fulani cha pesa hii ni nzuri.

Lakini kamwe haikufanyi usijishughulishe na kuwaza nje ya box!

Binafisi mimi ni muajriwa wa company flani ya madini hapa Tanzania nipo kwenye mgodi mkubwa tu. Malipo yapo vizuri pia ukilinganisha na sector zingine.

Naowamba rafiki zangu huo ufahari mliojipatia kwenye mitandao ya kijamii uvueni na vaeni uhalisia wa maisha yenu.

Mara nyingi tunabishana humu kijana anakuambia tecno, Huawei,nk eti sio simu hizo Ili hali hata kwenye bandiko lake unatumia simu hiyohiyo

Lakini kiuhalisia maisha yako yanazidiwa mbali na mtu anayemiliki hiyo simu.

Kijana kuwa na vitu vya gharama usivyofaidika navyo ni hasara rafiki yangu.

Kama una mtaji hata kidogo tu usisite au hata uza hiyo simu yako ingia kwenye kilimo ukiwa na mtaji hata 600k-1000k ni kianzio kizuri mno na simu nzuri utanunua humo.

Tarehe 7/3/2024 nilipandikiza nyanya zangu na mwishoni mwa mwezi wa5 nikaanza mavuno ya nyanya.

Gharama nilizotumia ni m
Tsh. Milioni 3 tu ikiwa pamoja na vijana wenzangu wa kazi, madawa, mbolea na vifaa vya kazi kama majembe solo nk.

Hii nimepata hasara makadilio ilikuwa nipate faida walau 15+ Hivi

Na hii ilitokana na bei kuwa chini, vilevile Kuna mbegu nilinunua Kwa mkulima mwenzangu baada ya kwangu kutokuota vzr na hivyo kupeleka kuhitaji mbegu haraka iliyo tiyari kupandwa. ndipo nilipo nunua Ili niweze kumalizia sehemu iliyopelea.

Pamoja na hayo hii miezi 4 kupata Milioni 9 faida na kazi yangu na fanya sio Hela kidogo. Ni faida kwangu.

Saivi issues kuhusu wateja sio ya kuuliza tena wanyarwanda,waganda na wakenya wanafika hadi shambani kwako wanachukua mzingo na kupewa cash yako na wanaacha na hela ya andvance usiuuze kwa mwingine ila uwe na mzigo wa maana tu.

Na shangaa mno vijana ku fake maisha yasiyo Yako asee.

SISEMI UONGO!
Kwa sasa nina miaka 3 bila kufika Dar na wala Sina mpango wa kuja dar Kwa sababu Sioni kipya cha kunileta Dar.

Sana sana napoteza muda wangu tu bure pamoja na hela. Japo wapo wenzangu na wadogo zetu wasio jitambua wao Kila off wanaenda Dar tena kwa ndege ukiangalia wanachoenda fanya ni kula bata.

Tena wanasimuliana amelala na wanawake wa hadhi gani na wanaonyeshana picha!

Kumbuka sisi tunatinga siku 7 day night siku7 then off siku7 (mapumziko)

Hicho ndo huwa kina wa
Peleka Dar! Unabaki kuwaonea huruma tu kujenga hawajajenga nk.

Simu walizo nazo Sasa utacheka simu kubwa ya thamani kuliko Gm (general manager) wa hapa mgodini!

Ni sawa hatuwezi kupangiana maisha lakini kumbuka kesho utakuwa na familia na pia uzee upo mbioni!!

Kwa Sasa vitu vyangu naagiza online Dar hadi nilipo kwa gharama ya 10k au 20k naokoa zaidi ya 300k ya nauli chakula na malazi.

Ninayo mengi sana ya kusema lakini kilimo kinalipa sana.

Hasara ipo kila sehemu asee iwe biashara ufugaji nk. Nilichojifunza tusikate tamaa tu.

Nimewahi kuagiza vifaranga vya kuku 400 asee vilkufa nikabaki na kuku 17 tu kati ya hizo nilizani nimelogwa hadi siku Moja nipo mitandaoni nadhurula nikaona clip ya jamaa analia kuku wake zaidi 10 Elfu wamekumbwa na mafuriko na kufa wote nilimuonea huruma na kujifunza Somo hapo!

Nikaja kuagiza vifaranga 500 walikufa 17 ikawa kinyume chake hadi nauza nilikuwa na kuku 478. (Wengine nilikuwa najipongeza)

Na niliuza Kwa 18,000/=Kila kuku bei ya load wanaita.

Ndani ya miezi 4 na wiki3 tu walikuwa kroiler na nilinunua AKM huko huko Daslam .

Kwenye kupambana tegemea lolote. Visa kadhaa nitakuwa naleta Kwa comment hapo chini

Ahsanteni.

View attachment 3050886View attachment 3050892
We jamaa muhuni tu
Kilimo hakipo hivyo acha uongo
 
JF wasaalam 🙏

Kama unataka mali utaipata shambani.

Nianze kuwaomba vijana na sio kuwashauri maana kama kushauriwa mmeshauriwa sana hadi basi lakini hambadiliki.

Mimi nami ni kijana mwenye miaka 30+ hivi hiki nachokisema ni kweli na nimekifanya mwenyewe.

Uzi utakuwa mrefu kidogo vumilia tujifunze kitu.

Najua umesoma una elimu yako au pengine una kazi yako (ajira) unaingiza kiasi fulani cha pesa hii ni nzuri.

Lakini kamwe haikufanyi usijishughulishe na kuwaza nje ya box!

Binafisi mimi ni muajriwa wa company flani ya madini hapa Tanzania nipo kwenye mgodi mkubwa tu. Malipo yapo vizuri pia ukilinganisha na sector zingine.

Naowamba rafiki zangu huo ufahari mliojipatia kwenye mitandao ya kijamii uvueni na vaeni uhalisia wa maisha yenu.

Mara nyingi tunabishana humu kijana anakuambia tecno, Huawei,nk eti sio simu hizo Ili hali hata kwenye bandiko lake unatumia simu hiyohiyo

Lakini kiuhalisia maisha yako yanazidiwa mbali na mtu anayemiliki hiyo simu.

Kijana kuwa na vitu vya gharama usivyofaidika navyo ni hasara rafiki yangu.

Kama una mtaji hata kidogo tu usisite au hata uza hiyo simu yako ingia kwenye kilimo ukiwa na mtaji hata 600k-1000k ni kianzio kizuri mno na simu nzuri utanunua humo.

Tarehe 7/3/2024 nilipandikiza nyanya zangu na mwishoni mwa mwezi wa5 nikaanza mavuno ya nyanya.

Gharama nilizotumia ni m
Tsh. Milioni 3 tu ikiwa pamoja na vijana wenzangu wa kazi, madawa, mbolea na vifaa vya kazi kama majembe solo nk.

Hii nimepata hasara makadilio ilikuwa nipate faida walau 15+ Hivi

Na hii ilitokana na bei kuwa chini, vilevile Kuna mbegu nilinunua Kwa mkulima mwenzangu baada ya kwangu kutokuota vzr na hivyo kupeleka kuhitaji mbegu haraka iliyo tiyari kupandwa. ndipo nilipo nunua Ili niweze kumalizia sehemu iliyopelea.

Pamoja na hayo hii miezi 4 kupata Milioni 9 faida na kazi yangu na fanya sio Hela kidogo. Ni faida kwangu.

Saivi issues kuhusu wateja sio ya kuuliza tena wanyarwanda,waganda na wakenya wanafika hadi shambani kwako wanachukua mzingo na kupewa cash yako na wanaacha na hela ya andvance usiuuze kwa mwingine ila uwe na mzigo wa maana tu.

Na shangaa mno vijana ku fake maisha yasiyo Yako asee.

SISEMI UONGO!
Kwa sasa nina miaka 3 bila kufika Dar na wala Sina mpango wa kuja dar Kwa sababu Sioni kipya cha kunileta Dar.

Sana sana napoteza muda wangu tu bure pamoja na hela. Japo wapo wenzangu na wadogo zetu wasio jitambua wao Kila off wanaenda Dar tena kwa ndege ukiangalia wanachoenda fanya ni kula bata.

Tena wanasimuliana amelala na wanawake wa hadhi gani na wanaonyeshana picha!

Kumbuka sisi tunatinga siku 7 day night siku7 then off siku7 (mapumziko)

Hicho ndo huwa kina wa
Peleka Dar! Unabaki kuwaonea huruma tu kujenga hawajajenga nk.

Simu walizo nazo Sasa utacheka simu kubwa ya thamani kuliko Gm (general manager) wa hapa mgodini!

Ni sawa hatuwezi kupangiana maisha lakini kumbuka kesho utakuwa na familia na pia uzee upo mbioni!!

Kwa Sasa vitu vyangu naagiza online Dar hadi nilipo kwa gharama ya 10k au 20k naokoa zaidi ya 300k ya nauli chakula na malazi.

Ninayo mengi sana ya kusema lakini kilimo kinalipa sana.

Hasara ipo kila sehemu asee iwe biashara ufugaji nk. Nilichojifunza tusikate tamaa tu.

Nimewahi kuagiza vifaranga vya kuku 400 asee vilkufa nikabaki na kuku 17 tu kati ya hizo nilizani nimelogwa hadi siku Moja nipo mitandaoni nadhurula nikaona clip ya jamaa analia kuku wake zaidi 10 Elfu wamekumbwa na mafuriko na kufa wote nilimuonea huruma na kujifunza Somo hapo!

Nikaja kuagiza vifaranga 500 walikufa 17 ikawa kinyume chake hadi nauza nilikuwa na kuku 478. (Wengine nilikuwa najipongeza)

Na niliuza Kwa 18,000/=Kila kuku bei ya load wanaita.

Ndani ya miezi 4 na wiki3 tu walikuwa kroiler na nilinunua AKM huko huko Daslam .

Kwenye kupambana tegemea lolote. Visa kadhaa nitakuwa naleta Kwa comment hapo chini

Ahsanteni.

View attachment 3050886View attachment 3050892
Well said
 
Upo sawa mkuu sahivi nategemea kupanda cabbage heka3 4 wiki ijayo jtatu vijana wanaingia mzigoni kupanda. Mbegu Iko tyr
Usisambae sana mapema
Kama nyama zinalipa jikite kwenye nyanya tu

Usifanye diversity mapema concentrate kwenye hiyo nyanya inalipa

Nyanza imeonyesha faida ya milioni 9 faida kwa mwezi endelea na Nyanya tu kwa miaka mitano mfukulizo kabla ku divesfy expand ekari za Nyanya ni mapema mno kufanya diversification kama Nyanya inalipa fanya diversification after five years kama profit ya nyanya iko consistent for all those five years

Ku diversity kwenye business huhitaji utulivu wa akili za kibiashara don't rush

Hata uki diversify hiyo new business ipe at least five years huku una nyanya na huku una hiyo new business ukiziangalia zote before diversifying kwenye product ingine ya tatu

Usione akina Azam wana Products nyingi Azam food,Azam Marine,Azam Media na Azam Sport nk diversification haiendi mbio kama fast food kukaangiwa chips kuku chap chap

Diversification ni serious business consideration
 
JF wasaalam 🙏

Kama unataka mali utaipata shambani.

Nianze kuwaomba vijana na sio kuwashauri maana kama kushauriwa mmeshauriwa sana hadi basi lakini hambadiliki.

Mimi nami ni kijana mwenye miaka 30+ hivi hiki nachokisema ni kweli na nimekifanya mwenyewe.

Uzi utakuwa mrefu kidogo vumilia tujifunze kitu.

Najua umesoma una elimu yako au pengine una kazi yako (ajira) unaingiza kiasi fulani cha pesa hii ni nzuri.

Lakini kamwe haikufanyi usijishughulishe na kuwaza nje ya box!

Binafisi mimi ni muajriwa wa company flani ya madini hapa Tanzania nipo kwenye mgodi mkubwa tu. Malipo yapo vizuri pia ukilinganisha na sector zingine.

Naowamba rafiki zangu huo ufahari mliojipatia kwenye mitandao ya kijamii uvueni na vaeni uhalisia wa maisha yenu.

Mara nyingi tunabishana humu kijana anakuambia tecno, Huawei,nk eti sio simu hizo Ili hali hata kwenye bandiko lake unatumia simu hiyohiyo

Lakini kiuhalisia maisha yako yanazidiwa mbali na mtu anayemiliki hiyo simu.

Kijana kuwa na vitu vya gharama usivyofaidika navyo ni hasara rafiki yangu.

Kama una mtaji hata kidogo tu usisite au hata uza hiyo simu yako ingia kwenye kilimo ukiwa na mtaji hata 600k-1000k ni kianzio kizuri mno na simu nzuri utanunua humo.

Tarehe 7/3/2024 nilipandikiza nyanya zangu na mwishoni mwa mwezi wa5 nikaanza mavuno ya nyanya.

Gharama nilizotumia ni m
Tsh. Milioni 3 tu ikiwa pamoja na vijana wenzangu wa kazi, madawa, mbolea na vifaa vya kazi kama majembe solo nk.

Hii nimepata hasara makadilio ilikuwa nipate faida walau 15+ Hivi

Na hii ilitokana na bei kuwa chini, vilevile Kuna mbegu nilinunua Kwa mkulima mwenzangu baada ya kwangu kutokuota vzr na hivyo kupeleka kuhitaji mbegu haraka iliyo tiyari kupandwa. ndipo nilipo nunua Ili niweze kumalizia sehemu iliyopelea.

Pamoja na hayo hii miezi 4 kupata Milioni 9 faida na kazi yangu na fanya sio Hela kidogo. Ni faida kwangu.

Saivi issues kuhusu wateja sio ya kuuliza tena wanyarwanda,waganda na wakenya wanafika hadi shambani kwako wanachukua mzingo na kupewa cash yako na wanaacha na hela ya andvance usiuuze kwa mwingine ila uwe na mzigo wa maana tu.

Na shangaa mno vijana ku fake maisha yasiyo Yako asee.

SISEMI UONGO!
Kwa sasa nina miaka 3 bila kufika Dar na wala Sina mpango wa kuja dar Kwa sababu Sioni kipya cha kunileta Dar.

Sana sana napoteza muda wangu tu bure pamoja na hela. Japo wapo wenzangu na wadogo zetu wasio jitambua wao Kila off wanaenda Dar tena kwa ndege ukiangalia wanachoenda fanya ni kula bata.

Tena wanasimuliana amelala na wanawake wa hadhi gani na wanaonyeshana picha!

Kumbuka sisi tunatinga siku 7 day night siku7 then off siku7 (mapumziko)

Hicho ndo huwa kina wa
Peleka Dar! Unabaki kuwaonea huruma tu kujenga hawajajenga nk.

Simu walizo nazo Sasa utacheka simu kubwa ya thamani kuliko Gm (general manager) wa hapa mgodini!

Ni sawa hatuwezi kupangiana maisha lakini kumbuka kesho utakuwa na familia na pia uzee upo mbioni!!

Kwa Sasa vitu vyangu naagiza online Dar hadi nilipo kwa gharama ya 10k au 20k naokoa zaidi ya 300k ya nauli chakula na malazi.

Ninayo mengi sana ya kusema lakini kilimo kinalipa sana.

Hasara ipo kila sehemu asee iwe biashara ufugaji nk. Nilichojifunza tusikate tamaa tu.

Nimewahi kuagiza vifaranga vya kuku 400 asee vilkufa nikabaki na kuku 17 tu kati ya hizo nilizani nimelogwa hadi siku Moja nipo mitandaoni nadhurula nikaona clip ya jamaa analia kuku wake zaidi 10 Elfu wamekumbwa na mafuriko na kufa wote nilimuonea huruma na kujifunza Somo hapo!

Nikaja kuagiza vifaranga 500 walikufa 17 ikawa kinyume chake hadi nauza nilikuwa na kuku 478. (Wengine nilikuwa najipongeza)

Na niliuza Kwa 18,000/=Kila kuku bei ya load wanaita.

Ndani ya miezi 4 na wiki3 tu walikuwa kroiler na nilinunua AKM huko huko Daslam .

Kwenye kupambana tegemea lolote. Visa kadhaa nitakuwa naleta Kwa comment hapo chini

Ahsanteni.

View attachment 3050886View attachment 3050892
Acha ushamba kilimo kinacholipa ni milungi na bangi pekee robo heka ya milungi unalamba 2.5 milion wakati umeilima kwa 150000 so janjaluka
 
Kwa faida ya wanataka kulima

SHAMBA.

Mimi shamba ni la nyumbani ni Bure Pamoja na mbolea samadi ilikuwa Bure pia.

Uaandaji pamoja na kulimiwa ni Bure pia Kuna ng'ombe kwetu na jembe la kukokotwq na ng'ombe (pirau)

MBEGU :-Nilinunua mbegu ya nyanya kutoka Epinavi nitaweka picha zao na mawasiliano Yao hapa chini.

Awali niliambiwa gram 50 kama ingeota vizuri ingetisha kupanda Heka1 yote.

Hivyo nilinunua gram40 ya mbegu aina ya Tanzanite F1
Nikanunua gm10 Dhahabu F1
Nikanunua gm10 imara f1

Bado hazikutosha Kwa heka moja
Hivyo nilitafuta Kwa mkulima mwenzangu Ambae aliniambia yeye ana mbegu inaitwa Onex kama sijakosea na aliikamua tu sio pure.

Kwa vile nilitaka kupanda na zisipishane nikanunua kwake jamaa na kupandikiza

Mnamo trh7/3/2024 nikianza uhamishaji wa Miche kutoka kitaluni na Hadi trh 13 zoezi la upandaji liliisha.

Palizi nilitumia vijana wangu wa kazi ambao wapo4 tu

MBOLEA YA VIWANDANI:-nimeweka mara5 na Kila kuweka nilikuwa natumia mifuko2 au 2 kasoro.

(Hapa mbolea zinatofautiana kulingana na umri wa nyanya)

VIUA TILIFU/KUVU:-Nimetumia kadiri inavyohitajika Sina idadi sahihi.

VIFAA :-Majembe,solo nk pia.

MAVUNO RASIMI NA MAKUBWA :-
Mchumo wa kwanza tray 47 garde1
Grade2 try4
Mchumo wa 2 box 63¹
Grade2 box9
mchumo wa3 grd1 try54
Chenga13

BEI:- Awamu ya 1 niliuza grad1 Kwa 45k chenga32k

Awamu ya pili grd1 niliuza Kwa 53 chenga42 nyanya ilipanda bei

Awamu ya 3 bei grd1 48k
Chenga25k.

Kwa ujumla wake nilipata Tsh8,800,000 na Hela kadhaa mesahau

Baada hapo nikianza kuuza Kwa bajaji
Na kwenye matenga hapa Sasa ni changanyikeni tu maana sikuwa shambani na kupigwa nilipigwa na vijana pia sikuwa na jinsi kutokana na kubanwa na kazi na hata kuandika idadi nilishindwa.

Mara kadhaa mzee wangu ndo alihusika na mauzi akiwapo shambani

Na pesa ilikuwa unatumiwa kulingana na mauzi maana ilikuwa Kila siku natumiwa Hela ambayo Kwa ujumla ni nilipata 5,378,000/= maana msg nilikuwa sifuti.

Ukija jumlisha zote Ni Tsh 14,178,000/=

Wafanyakazi ni4 Kila mmoja 500k Jumla 2,000,000/= zilibaki ni dhana za vilimo madawa na mbegu nk.
 

Attachments

  • IMG_20240419_173003_744.jpg
    IMG_20240419_173003_744.jpg
    992.2 KB · Views: 38
  • IMG_20240510_074036_916.jpg
    IMG_20240510_074036_916.jpg
    485.7 KB · Views: 43
  • IMG_20240509_142915_223.jpg
    IMG_20240509_142915_223.jpg
    2.5 MB · Views: 41
  • IMG_20240622_172444_112.jpg
    IMG_20240622_172444_112.jpg
    2.7 MB · Views: 38
Usisambae sana mapema
Kama nyama zinalipa jikite kwenye nyanya tu

Usifanye diversity mapema concentrate kwenye hiyo nyanya inalipa

Nyanza imeonyesha faida ya milioni 9 faida kwa mwezi endelea na Nyanya tu kwa miaka mitano mfukulizo kabla ku divesfy expand ekari za Nyanya ni mapema mno kufanya diversification kama Nyanya inalipa fanya diversification after five years kama profit ya nyanya iko consistent for all those five years

Ku diversity kwenye business huhitaji utulivu wa akili za kibiashara don't rush

Hata uki diversify hiyo new business ipe at least five years huku una nyanya na huku una hiyo new business ukiziangalia zote before diversifying kwenye product ingine ya tatu

Usione akina Azam wana Products nyingi Azam food,Azam Marine,Azam Media na Azam Sport nk diversification haiendi mbio kama fast food kukaangiwa chips kuku chap chap

Diversification ni serious business consideration
Ushauri wako makini sana nimeupokea mkuu.

Hapa nilipo **** shida maji hivo nilienda kukodi shamba sehemu yenye mkondo wa ziwa Victoria ndo nikapata hizo Hela 4 Tena Kwa shart kuwa ifikapo mwezi wa11 kusiwe na zao lolote maana ndo wanategemea kulima mahindi nk. Ndio maana nikaona kuliko kukaa na vijana wangu wa kazi Bure ni Bora nilime cabbage mkuu.

Baada ya hapo narudi hapa kwenye shamba la nyanya Tena na hii nitapata faida zaidi ya hiyo na uhakika maana masika nyanya Huwa unaweka sana ukizingatia tu matunzo stahili.

Shukran sana
 
Back
Top Bottom