Nimelipia nguzo TANESCO muda mrefu mpaka leo hawajarudi kunipa huduma

.... sina haja ya yote hayo. Ana haja na hela yako
 
Hao jamaa hiyo ndio kula yao Sasa usiponyoosha mkono utabaki kuangilia hiyo risiti na mwisho italiwa na panya hawaji hao, fungua pochi nyoosha mkono
 
Inasaidia nini kwani, endeleeni kupiga ila tunaamini atakuja Magufuli mwingine siku moja na mtanyooka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…