Nimemaliza kuongea na Rafiki yangu anayeishi Marekani, Ananiambia 'we are still working from home beacuse of Corona, America is becoming boring place'

Nimemaliza kuongea na Rafiki yangu anayeishi Marekani, Ananiambia 'we are still working from home beacuse of Corona, America is becoming boring place'

Ni maono ya uongozi thabiti wa JPM uliojikita kwa kumtegemea Mungu
Kamari tuliyocheza imelipa,else tungekuwa tunaongea habari nyingine!Kuna mataifa walifanya kama sisi lakini wameangamia sana,angalia Brazil walivyoteketea!

Tumebebwa sana na ukanda wa eneo,ukiangalia nchi hizi za East Africa na majirani zetu wala Corona haijawa issue sana!

Nasisitiza kuwa Kamari tuliyocheza tumelamba dume!
 
Kamanda kama ni bahati Chadema acheni kampeni muendelee kujiweka karantini kwa kuzingatia maelekezo ya Rais wenu Kenyatta
..Ni bahati ya mtende.

..kwasababu kama ni kumuomba MUNGU, wazungu ndio waliotuletea habari za MUNGU tuliyemuomba.

..sasa imekuaje wao waliotu-introduce kwa MUNGU waathirike kuliko sisi?
 
Bahati ya mtende ndio maana yake nini..embu Acheni ujinga wa kuelewa habari zisizo nammbele wala nyuma..Hivi mzungu akikuuLiza kwanini tupo na hali hii unamweleza tuna bahati ya mtende....stupiddddd
Sasa unaweza ukatoa ushahidi gani wa kisayansi ka sio bahati tu.
Shida yenu mnapenda kuimba pambio za kusifu tu bila kutumia akili? sisi bahati tuliyonayo ni kutokuokota maiti mitaani, Je, unaweza ukathibitisha kua watu hawafi kwa korona?
 
Ni maono ya uongozi thabiti wa JPM uliojikita kwa kumtegemea Mungu
Nitakuwa wa mwisho kuamini JPM ana hofu ya Mungu zaidi ya maigizo!Unawezaje kutesa watu halafu unasema una hofu ya Mungu?Kwa Matendo maovu dhidi ya binadamu yanayofanywa na yeye kwa kutumia mamlaka yake,hakuna uwepo wa Mungu ndani yake!
 
Usiseme hivyo,hiyo sayansi yenyewe ni hao hao wanaoteketea ndio wabobezi na maarifa ya sayansi tunakariri kutoka kwao!Sisi na nchi nyingi za Africa kufanikiwa kwenye Corona ni bahati ya mtende!Sio kwasababu tuna Rais mkemia!Hoja nyingine nyepesi nyepesi muwe mnakaa nazo tu vifuani mwenu kulinda heshima zenu!
Umemjibu vizuri sana
 
Watu wanashangaza mno. Nadhani kwa sababu sisi watanzania wengi hawana utamaduni wa kutafiti mambo. Unajua watu hajui kuwa nchi nyingi za Afrika kwa sababu ambazo bado hatuzijui hazikuathirika sana na huu ugonjwa. Hali ya Tanzania, Kenya, Uganda, Zambia nk kwa kuathirika ni sawasawa kabisa. Tofauti ni kwamba rais wa Tanzania amekataza watu wasipimwe na wale wanaofariki wasitangazwe. Tena kwa idadi ya vifo vilivyotokea Tanzania tunaongoza kulinganisha na nchi nyingine za East Africa ila tofauti ni kuwa Magufuli alipuuzia tangu mwanzo hivyo watu wengi wakafariki kwa mpigo kile kipindi cha mwanzoni na baadae herd Immunity ikafanya kazi.
Wewe wengine mpaka leo wamejifungia na wanaangamia ukisema Mungu kaisadia nchi yetu utapungukiwa nini?
 
Tuache siasa tuache majungu Magufuli ni mwanasayansi asiekuwa muoga na anaejua nini anafanya. Sio kwamba ana miujiza ila alichoweza kuwaaminisha watanzania ni kwamba corona ni mafua ya kawaida sana kawaida ila haiwezi kushindana na uwezo wetu wa kukabiliana na hali tete au hali ngumu.

Alichofanya Magufuli ni kawaondolea watu hofu na kuiona corona kama mafua ya kawaida that how he won against corona. Hili si swala la kiasiasa ni swala kutambua mambo pia tumshukuru Mungu pia kuwa katupa kiongozi anaweza kuona na kutambua hatari na madhara yake leo tungekuwa na lockdown maisha ya watanzania yangekuaje?

Magufuli he is the hero against corona in the world. Kampeni zinaendelea, wapinzani pamoja na chama tawala wote wanajaza watu kwa maelf kiukweli wakati wa corona tungekuwa na Rais toka CHADEMA mnajua maamuzi yangekuwaje.
Mwenyekiti wa saccos sijui alikuwa anawaza nini kipindi kile. Kukitoa kikundi chake bungeni, kujitokeza kwenye media kuzungumzia lockdown, huku akikashifu njia zitolewazo na Serikali. Mungu amekipiga kiburi chao, na kwenye uchaguzi huu watanzania tutafanya kwa vitendo.
 
Tuache siasa tuache majungu Magufuli ni mwanasayansi asiekuwa muoga na anaejua nini anafanya. Sio kwamba ana miujiza ila alichoweza kuwaaminisha watanzania ni kwamba corona ni mafua ya kawaida sana kawaida ila haiwezi kushindana na uwezo wetu wa kukabiliana na hali tete au hali ngumu.

Alichofanya Magufuli ni kawaondolea watu hofu na kuiona corona kama mafua ya kawaida that how he won against corona. Hili si swala la kiasiasa ni swala kutambua mambo pia tumshukuru Mungu pia kuwa katupa kiongozi anaweza kuona na kutambua hatari na madhara yake leo tungekuwa na lockdown maisha ya watanzania yangekuaje?

Magufuli he is the hero against corona in the world. Kampeni zinaendelea, wapinzani pamoja na chama tawala wote wanajaza watu kwa maelf kiukweli wakati wa corona tungekuwa na Rais toka CHADEMA mnajua maamuzi yangekuwaje.
Wacha wee, ni yule rafiki yako wa Birmingham ya Gwajiboy?
 
Yaelekea Museni alikubali kuja Bongo basi tu lakini kama vile alikua hana amani. Wao bado wanajifungia! Nasikia aliweka masharti kibao na hata hawakupeana mkono na mwenyeji wake!

Kupanga ni kuchagua. Kama wengine walivyoamua kuendelea kujifungia na kuvaa masks, Tz tumeamua kujiachia na kuendelea na shughuli zetu kama kawaida na kwa maoni yangu pande zote ziko sahihi
 
Na jinsi wanavyoendelea kujifungia, ndio wanazidi kupoteza ile golden chance ya kuipa miili yao chance ya kutengeneza ‘natural immunity’, na siku wakitoka lockdown ndio watakufa zaidi
 
Kamari tuliyocheza imelipa,else tungekuwa tunaongea habari nyingine!Kuna mataifa walifanya kama sisi lakini wameangamia sana,angalia Brazil walivyoteketea!

Tumebebwa sana na ukanda wa eneo,ukiangalia nchi hizi za East Africa na majirani zetu wala Corona haijawa issue sana!

Nasisitiza kuwa Kamari tuliyocheza tumelamba dume!
Kinga ya WaAfrica iko juu ukilinganisha na hao wazungu wa Brazil, hapa ndio ile kauli ya IGA UFE imepata uhalisia
 
Bahati ya mtende ndio maana yake nini..embu Acheni ujinga wa kuelewa habari zisizo nammbele wala nyuma..Hivi mzungu akikuuLiza kwanini tupo na hali hii unamweleza tuna bahati ya mtende....stupiddddd
Tatizo ukienda kwenye media za wazungu bado hawataki kukiri kwamba TZ hatuna Corona, wao wanang’ang’ana na ule upuuzi wa kuficha data
 
Bora wao wana kazi za kufanyia nyumbani, nyie huku mmetoa ajira ngapi kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu kila mwaka?

Wacha kufikiria na kuandika kama mbayuwayu.
Kwani kazi ya serikali ni kuajiricau kutengeneza mazingira wezeshi?
 
Watu wanashangaza mno. Nadhani kwa sababu sisi watanzania wengi hawana utamaduni wa kutafiti mambo. Unajua watu hajui kuwa nchi nyingi za Afrika kwa sababu ambazo bado hatuzijui hazikuathirika sana na huu ugonjwa. Hali ya Tanzania, Kenya, Uganda, Zambia nk kwa kuathirika ni sawasawa kabisa. Tofauti ni kwamba rais wa Tanzania amekataza watu wasipimwe na wale wanaofariki wasitangazwe. Tena kwa idadi ya vifo vilivyotokea Tanzania tunaongoza kulinganisha na nchi nyingine za East Africa ila tofauti ni kuwa Magufuli alipuuzia tangu mwanzo hivyo watu wengi wakafariki kwa mpigo kile kipindi cha mwanzoni na baadae herd Immunity ikafanya kazi.
Tungejifungia ndani, hiyo herd immunity ingepatikana?
 
Back
Top Bottom