Dah
Tigershark umepanic tu!!
Huwezi kucheza kamari kwenye ugonjwa aisee, ni lazima uufahamu ndio uchukue hatua sahihi.
Approach iliyotumika ilitokana na kufahamu sayansi ya “immunology”. Unaweza kuanzisha jambo lakini akatokea mwingine ambaye akalifahamu na kuliboresha zaidi, hivyo usishangae.
Wazungu walitiwa hofu na “wana mipango” wakaingia mkenge wakapuuzia ukweli wa kisayansi na matokeo yake kilichowapata unakijua.
Corona ingekuwa kama Ebola bado nasi tungetumia sayansi hiyohiyo kukabiliana nayo. Ndiyo maana ya kupewa akili na utashi