Nimemcheki Samatta kwenye Game ya Genk vs Anderletch. Samatta hana uwezo wa kucheza England

Nimemcheki Samatta kwenye Game ya Genk vs Anderletch. Samatta hana uwezo wa kucheza England

Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Umeanza kumcheki kwenye game ngapi?au hii ndiyo yakwanza?Kabla hujaandika ulitakiwa umcheki walau game 3 ndio utuambie
 
Mkuu inawezekana ukawa umesema ukweli Mchungu.....ila kwani England ndio kuna Mpira? au Kuna Mashabiki?
Mi napendekeza akitaka kutoka Genk aende spain tuu,England atakuwa mwanariadha tuu...ila akaze buti pamoja kuwa napambana na andeletch timu kongwe na kubwa na wamempania...fitna kwa MTU MWEUSI USISAHAU...
Pia mkumbuke kwenye mexhi hiyo ndio aliweka kimiani goli LA ushindi.na kwenye top scorers yupo namba 2 akiwa na magoli 4 nyuma ya kinara mwenye ,5
 
Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....

Nimekuelewa. Ila vichwa maji vya Kibongo havitoelewa. Na utapoteza nguvu nyingi kujaribu kuwaelewesha bora uwaache tu.
 
Kama unataka kuona kandanda/ kambumbu likisakatwa bila kujali hadhi ya klabu basi tazama EPL ila kama unataka tactics tizama mechi zinazoihusisha Barcelona, Real Madrid pamoja na Atletico de madrid.
.
Kama unataka kuona vibe la mashabiki basi tazama bundesliga ya ujerumani, kambumbu liko EPL buda linahusisha kila kitu nguvu, mbinu, mbio n.k kwo mchezaji aliyezoea mipira ya Spain ya mbinu zaidi akikutana na beki za wolves lazima avunjwe kamguu
pole shabiki mwenzangu wa manjesta... Leo tumlaumu nan?
 
Tunamshukuru raisi Magu kwa Sammata kufanya vizuri uko majuu, Samatta anatekeleza ipasavyo ilani ya ccm.
 
Si sawa kumukumu kwa mechi moja ukizingatia mwaka jana ndo kawa mfungaji bora. Aubemeyang mwaka jana mechi dhidi ya liverpool aligusa mpira mata 13 tu ndani ya dakika 71 alizocheza. Tena kati ya hizo mara 6 ilikua ni wakati wa kuanzisha mpira katikati. Lakini hiyo haikumfanya kuonekana kuwa hana uwezo wa kucheza hapo England
 
Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....

Genk wanapitia kipindi cha mpito baada ya Kocha wao P. Clement kujiunga na Club Brugie (Makamu Bingwa). Kila mchezaji pale Genk bado anajaribu kuzoea mbinu na mfumo we kocha mpya F. Mazzu hivyo ni vyema kumpa muda pia Mbwana Samatta.

Ahsante
 
Ile team 900 toka simiyu inamuurika samatta kwa uzi huu
 
Kuna aina tofauti tofauti za strikers...

Si lazima uwe na nguvu kama Drogba, mbwembwe kama Messi au mbio kama Ronaldo...

Wapo wafungaji wanaojulikana kama goal poachers, yaani wao uwanjani hawana mbwembwe isipokuwa wanajua mno kukaa maeneo yanayowarahisishia kufunga...

Mathalani unawakumbuka watu kama Mateja Kezman, Mario Jardel, Dwight Yorke, Tore Andy Flo, Ruud Van Nisterlooy, Roy Makaay n.k ni aina ya washambuliaji hawakuwa na pilika nyingi ila wao ilikuwa ni kujiposition panapotakiwa na kutupia tu

Kazi ya striker ni kufunga na kashafanya hivyo mara kibao, kafanya akiwa Mazembe na sasa Genk hivyo Samatta anaweza akacheza ligi yoyote Ulaya....
 
Kuna aina tofauti tofauti za strikers...

Si lazima uwe na nguvu kama Drogba, mbwembwe kama Messi au mbio kama Ronaldo...

Wapo wafungaji wanaojulikana kama goal poachers, yaani wao uwanjani hawana mbwembwe isipokuwa wanajua mno kukaa maeneo yanayowarahisishia kufunga...

Mathalani unawakumbuka watu kama Mateja Kezman, Mario Jardel, Dwight Yorke, Tore Andy Flo, Ruud Van Nisterlooy, Roy Makaay n.k ni aina ya washambuliaji hawakuwa na pilika nyingi ila wao ilikuwa ni kujiposition panapotakiwa na kutupia tu

Samatta anaweza akacheza ligi yoyote Ulaya....
Mleta mada ni aina ya mashabiki walioujulia mpira kupitia Messi au Ronaldo,wanadhani kila striker atakuwa wa aina hiyo.
 
Kuna aina tofauti tofauti za strikers...

Si lazima uwe na nguvu kama Drogba, mbwembwe kama Messi au mbio kama Ronaldo...

Wapo wafungaji wanaojulikana kama goal poachers, yaani wao uwanjani hawana mbwembwe isipokuwa wanajua mno kukaa maeneo yanayowarahisishia kufunga...

Mathalani unawakumbuka watu kama Mateja Kezman, Mario Jardel, Dwight Yorke, Tore Andy Flo, Ruud Van Nisterlooy, Roy Makaay n.k ni aina ya washambuliaji hawakuwa na pilika nyingi ila wao ilikuwa ni kujiposition panapotakiwa na kutupia tu

Kazi ya striker ni kufunga na kashafanya hivyo mara kibao, kafanya akiwa Mazembe na sasa Genk hivyo Samatta anaweza akacheza ligi yoyote Ulaya....
Asome hapa kwa faida yake ubongoni.
 
Back
Top Bottom