Nimemcheki Samatta kwenye Game ya Genk vs Anderletch. Samatta hana uwezo wa kucheza England

Nimemcheki Samatta kwenye Game ya Genk vs Anderletch. Samatta hana uwezo wa kucheza England

Kama Mpira bahati wewe upo SIMBA ama YANGA? Samatta yupo BELGIUM
 
Mtoa post unajicho la tatu...[emoji122]
Samatta ni jamaa mmoja mwenye bahati tu, ila ila anajituma sanaa[emoji122]
 
Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.

Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya.

Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk.

Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain. Hana zile mishemishe za kistriker. Bado anampira wa kitanzania.
TUNAOMBA TAFADHALI UJITOKEZE TUUJADILI HUU UZI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mavi Mavi tu na roho chafu chafu za kuzuia baraka na maendeleo kwenye nchi na bara kwa ujumla.
 
Samatta hata aende madrid siji kumkubali, kwa maono yangu mm mchezaj niliyeona ana upekee hapa bongo kwa hii miaka 10 ni Abubakar Salum " SURE BOY"

Kutoboa kwny soka kuna mambo mengi sana, bidii binafsi na nyota huchangia pia, kwa mwenye jicho la soka lazima ushangae mchezaj kama Phil Jones kuchezea Manchester united huku mabeki bora kama Nathan Ake wakiishia kucheze average teams kama Bournemouth

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa post arudi alafu atuelezee tena yeye anasemaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utasikia kazi kuwalaumu Wazungu kuwa hawatupendi.Sasa huo ni mfano wa mtu mmoja anakuja kuandika kitu unashangaa.
Na sio huyo siku hizi kuna wachambuzi kwenye hizi Radio mpaka unashindwa kuelewa kuwa walitaka Samata awagawie hela au awafanye nini?
 
Nafikiri sasa ifike hatua tuache kupangiana maisha kila mtu afanye anachoweza, shauri za kingesengese kama hizi tuachane nazo, mtu apambane kivyake wewe na kundu lako huku unaleta ushauri wa kikuda
 
Nafikiri sasa ifike hatua tuache kupangiana maisha kila mtu afanye anachoweza, shauri za kingesengese kama hizi tuachane nazo, mtu apambane kivyake wewe na kundu lako huku unaleta ushauri wa kikuda
Wewe kunguni tu nenda akakuoe sasa kwan nani anadisi maisha samatta kiukweli mpira hana wa kushangaza ni wakawaida hata msuva hawezi mfikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom