Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.

Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.

Screenshot_2023-07-09-11-55-41-822_com.whatsapp~3.jpg
 
Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.

Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.

View attachment 2682796


Wewe ndo dhaifu, hakuna mwanamke anaweza nambia huo ujinga
 
Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.

Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.

View attachment 2682796

Get away from her man. Yaani yeye anaona kawaida tu, kwa hiyo mindset huna mke
 
Next time text za kuombwa hela usiwe unajibu, Bluetick pita kushoto.

Na kama kuna ulazima wa kujibu basi jibu "Nikipata ntakutumia".

Hivi viumbe ni wabinafsi sana, na ukichunguza vzr ktk mahusiano hawana faida zaidi ya hasara..

Kuna mmoja nishamfungia vioo, wajinga ndio wanaotuma hela, mie ni kheri nimnunulie material things ila sio kumpa Cash...

Unampa Cash anaenda kutombwa na Mwanaume mwenzio bure bure.. na Manz analipia hotel kwa hela uliyompa.
 
Next time text za kuombwa hela usiwe unajibu, Bluetick pita kushoto.

Na kama kuna ulazima wa kujibu basi jibu "Nikipata ntakutumia".

Hivi viumbe ni wabinafsi sana, na ukichunguza vzr ktk mahusiano hawana faida zaidi ya hasara..

Kuna mmoja nishamfungia vioo, wajinga ndio wanaotuma hela, mie ni kheri nimnunulie material things ila sio kumpa Cash...

Unampa Cash anaenda kutombwa na Mwanaume mwenzio bure bure.. na Manz analipia hotel kwa hela uliyompa.
Nchi ya ujamaa hii.Lazima kushirikiana kula mavuno kwa umoja zaidi.😂
 
Mkuu, mwendelezo wa convo yenu utakuwa umeishaje, nawaza tu hapa.😀

Wanawake wa hivi hawafai, japo naona yeye kaiona 300k ni hela ya mboga tu. She's classic, maisha ya juu, hafikirii kesho yako...
 
Back
Top Bottom