Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Kweli kwa hio chart ya kwanza tuh kuonganisha sms ya salamu na kuomba hela hapo inaonesha jamaa ni danga alaf tena anaambiwa kashakua bahili [emoji23][emoji23][emoji23]maninaa
Hapo kwenye kumsema ubahili hata mie pamenishtua sana yani hamna mapenzi hata kidogo kuna wanawake majasiri jamani,,, ila siku hizi kuna mtindo wa kutumia dawa kuna mizizi wanatafuna ndipo wanapiga mzinga mzee hapo huchomoki itakayotamkwa utatoa tu,, baada ya hapo akili ndo inashtuka hii dunia imejaa makurumbembe aisee
 
Eehe yani 150k chap unaitumaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Haya toa na hiyo 300k. Demu mshahara wa 2M bado ombaombaa aiseee pole sanaa hawa viumbe washalogwaa na kuombaa helaa wanadai hela ya mwanaume tamu so hata kama akilipwa mil 10 wew unalipa laki 5 jua atakuombaa HELA TUU. huwezi kumpa achana naee.. hapo nimepengw 50k sijui kama ataniona tenaaaa
 
Hapo kwenye kumsema ubahili hata mie pamenishtua sana yani hamna mapenzi hata kidogo kuna wanawake majasiri jamani,,, ila siku hizi kuna mtindo wa kutumia dawa kuna mizizi wanatafuna ndipo wanapiga mzinga mzee hapo huchomoki itakayotamkwa utatoa tu,, baada ya hapo akili ndo inashtuka hii dunia imejaa makurumbembe aisee
😂😂Wee usiniambie
 
Wa kufanana nae
img_1_1686296334266.jpg
img_2_1686296345778.jpg
 
Hapana sio lazima iwe kila mara nipe nikupe but kuna ule utayari wa kuhudumia anapohitajika upo?

Kuna mwingine yeye anataka akikohoa tu apewe lakini ikifika muda na jamaa ana mahitaji naye anaanza sound makusudi...huyo apauke tu🤣🤣🤣

Lakini mimi sina wa hivyo
ERoni
😂😂😂Ila nyie mna mambo
 
Back
Top Bottom