Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Umenifurahisha kwaiyo hupew had utoe huduma?
Hapana sio lazima iwe kila mara nipe nikupe but kuna ule utayari wa kuhudumia anapohitajika upo?

Kuna mwingine yeye anataka akikohoa tu apewe lakini ikifika muda na jamaa ana mahitaji naye anaanza sound makusudi...huyo apauke tu🤣🤣🤣

Lakini mimi sina wa hivyo
ERoni
 
Hapana sio lazima iwe kila mara nipe nikupe but kuna ule utayari wa kuhudumia anapohitajika upo?

Kuna mwingine yeye anataka akikohoa tu apewe lakini ikifika muda na jamaa ana mahitaji naye anaanza sound makusudi...huyo apauke tu🤣🤣🤣

Lakini mimi sina wa hivyo
Hv kuna wanawake wanaozingua kutoa mzigo achen masihara bana
 
Kwakweli sie wa 200k sio maslay queen hatujui kuvaa sio classic acha wafe na stress hivo ela anavomwaga angekuwa amefanyia kitu Cha maana huenda angekuwa na mwanamke mwenye akili angekuwa na nyumba hata 2😀😀😀
Maisha yana mengi sana mkuu.
 
Mambo ya viuno sijui sana, lakini kwa mada hii, mtoa mada ni wale wanaopenda pisi kali. Sa pisi kali zinakamua mifuko daddekkk..wanawake wasioomba hela, hawana tako, sura zao za kawaida na vijichunusi vya hapa.na pale, most of the times wanajielewa sana na wako serious na maisha. Lakini unafikiri watu aina ya mleta mada watawataka??? Wanafata wenye chura, ndo wanaishia kugharamikia chura...ndegelec..😅😅😅😅
Mleta mada ndio kashanyoosha mikono 😂
Itabidi arudi kwetu sisi wenye vijichunusi vya hapa na pale...hata hivyo kei si ile ile 🤣
 
Back
Top Bottom