Kwann nitanie. Mm toka niombe napigwa kalenda mtu asiponipa sithubutu kuomba. Ndo nashangaa watu wanapewa sjui balo la wap hiliUna uhakika usemayo lkn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann nitanie. Mm toka niombe napigwa kalenda mtu asiponipa sithubutu kuomba. Ndo nashangaa watu wanapewa sjui balo la wap hiliUna uhakika usemayo lkn?
Dada... Hela ndo nini? Sema fedha au pesa. Matured women dont use the word hela.Hii tabia inaonyesha how immature you are. Tafuta hela, laki tatu sio ya kuja kulalamika humu unless hujampenda maana ukipenda mtu uwe tayari kwenda nae extra miles.
Rudi shule uongeze maarifa kabla hujaja humu kujadiliana.hii hesabu ya wapi na ww 2m net gross iwe 5m labda ya zimbabwe
NakujaNjoo nikupende Hadi uchanganyikiwe Jimbo lipo waziiii[emoji23]
Mm siomb hela ya matumizi hata sku moja. Nikiomba ujue nimekwama sina jinsi. Na ukitaka proof natoa. Lakin wap!. Unakuta mtu anataka uombe vochaBado nawewe ni walewale,mnatofautiana viwango vya kuomba hela.Muwe mnaomba kufunguliwa miradi,siyo hela kila mara.
Huduma unampa lkn?Kwann nitanie. Mm toka niombe napigwa kalenda mtu asiponipa sithubutu kuomba. Ndo nashangaa watu wanapewa sjui balo la wap hili
nirudi shule kufanya nn mtoa mada hajasema kama ni net au gross ww ume kuja na jibu lako tayr ndo nimeshangaa kuona unasema gross ya 5m ikupe net 2mRudi shule uongeze maarifa kabla hujaja humu kujadiliana.
I am still stuck on classic chick wa kung'ang'ania kupewa 300,000. I am sorry.Bado sana huku
Demu mwenye gari tayari ni classic .
😀😀Nakujua wew mwenyekiti wa uwabatauna sehemu yako mbinguni
ningekununulia kinywaji sema ndo hivyo, UWABATA😂
Mm labda niwe na drip. Ila kama nna mtu wang hata kama nna homa anapewaHuduma unampa lkn?
Kama huduma unatoa hupewi basi uje nikupe siri
Hata maelezo yangu ya awali sikusema kama kasema ni gross ama net, nimtoa option ya net, na kuna mjumbe mwingine akauliza kama ikiwa gross, nikatoa na mchanganuo pia.nirudi shule kufanya nn mtoa mada hajasema kama ni net au gross ww ume kuja na jibu lako tayr ndo nimeshangaa kuona unasema gross ya 5m ikupe net 2m
twende uko shule sasa nipe mchanganuo wakuleta hiyo 2m
Kwani mapenzi ni pesa?Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
🤣🤣🤣🤣Hapo Kwa mzee mpili hapoToka mwanzo ulionekanaa unamwaga pesaa anything anytimee😅😅😅..in mzee mpili voice
😀😀😀Huduma unampa lkn?
Kama huduma unatoa hupewi basi uje nikupe siri
Afadhali Elli umemrudisha Shwazniga wetuIla wanawake bwana! Unajaribu kuwaza mtu anafikiria nini unashindwa kuelewa.
Wenzetu wanapata wap watu wa hv jaman. Watu tunapauka na shida ah jaman had wivu mi hata nkipewa laki kwa mwez si nngetemea wanaume mate huko nje[emoji23][emoji23]
Kama wameokotana hapa hapa JF je? 😳😳😳Mliokotana wapi? Ukute mmeokotana tu Instagram, FB, Twitter, badoo au tagged halafu unategemea awe loyal kimapenzi kwako bila kumpa hela!!?
🤭Wana hata hizo classic services hataNi chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....