Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingi ngapiYaani wewe ni mimi, pesa nyingi labda nipewe na mume wa mtu [emoji1787]
muonekano wako upo vipi kwaniKwann nitanie. Mm toka niombe napigwa kalenda mtu asiponipa sithubutu kuomba. Ndo nashangaa watu wanapewa sjui balo la wap hili
Hahah, Sophy dunia ina mambo sana. Huyu kama ana kipato cha 2m kwa mwezi lazima jamaa asumbuke.😀😀😀Kwakweli kunawanawake Wana bahat sana wengine kipato Cha laki 2 tunawaza kujenga majumba wengine wanawaza kuchezea laki 3
Naunga mkono hojaMwanamke ukimpa chance ya control akili yako umeisha, Utampa hela na bado atakusaliti na kukutake for granted. Just be BOLD utapata heshima yako zaidi ya Amiri jeshi mkuu
Wadada wengi wenye mishahara mikubwa wanaishi maisha ya juu sana. Kuna ninaofanya🤣🤣 labda 2m ni Gross.
Nina dada rafiki ana gross ya 1.8m na hana mkopo wa HESLB.
Ila sasaa madeniiii
Ananikopa hadi mie naelipwa afu 1.
Sasa imagine kwa bwana ake anaombaje?
Yule anaishi classic life balaa.. kwenda kula dinner Melia ye kawaida tu.
Mtu unapokea afu3 monthly, lakini unaaishi maisha ya elf 7. Hizo 4 zinatoka wapi?
Ndo hao wa mtoa mada
Classic halafu anaomba 300k, huyu ni adadanga tu. Wanawake classic hatuomvagi hela. We cover our own billsUmemaliza mkuu👊
Kibonge😂muonekano wako upo vipi kwani
aiseeEm Njoo kwangu [emoji846]
aah vibonge nawapenda sana hua hamna roho mbayaKibonge😂
Naam,japokuwa ni lugha ngumu umetumia ila nakubaliana na wewe 100%
Kwakweli sie wa 200k sio maslay queen hatujui kuvaa sio classic acha wafe na stress hivo ela anavomwaga angekuwa amefanyia kitu Cha maana huenda angekuwa na mwanamke mwenye akili angekuwa na nyumba hata 2😀😀😀Hahah, Sophy dunia ina mambo sana. Huyu kama ana kipato cha 2m kwa mwezi lazima jamaa asumbuke.
Ss sio kila mtu anapenda. M nahisi wabahili ndo wanapenda😂aah vibonge nawapenda sana hua hamna roho mbaya
♥️😘😘Wadada wengi wenye mishahara mikubwa wanaishi maisha ya juu sana. Kuna ninaofanya
Classic halafu anaomba 300k, huyu ni adadanga tu. Wanawake classic hatuomvagi hela. We cover our own bills
nahitaji kukuhonga si kwa ubaya lakini nimeamua tuh,nipatie ruhusaSs sio kila mtu anapenda. M nahisi wabahili ndo wanapenda😂
Matani ya hv sio mazuri nakwambianahitaji kukuhonga si kwa ubaya lakini nimeamua tuh,nipatie ruhusa
la kuna watu ni waongo duniani aashAnapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
hahah toa ruhusaMatani ya hv sio mazuri nakwambia