Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kwakweli tusipangiane uko sawaNakosea dadangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli tusipangiane uko sawaNakosea dadangu?
Aiseee nimecheka sn jamani 🤣🤣🤣🙌Sio pisi kali wote wanakua na tabia io ya kukamua mifuko ya wanaume, kuna wadada hawana sura, hawana tako ila wanaomba hela hao looh Mademoiselle
Mtu anapokuwa na uhitaji mnapeanaKwa kweli wanakera.
Mnapokuwa wapenzi inapendeza kila mmoja ajali hitaji la mwenzake.
Isipokuwa labda kuna wakati hana ...nawe ke umwelewe
Ukweli utabaki kuwa ukweli mwanamke akikosa akil ni mzigo msiweke kigezo cha size yako kama wewe ni mwanamke bas ndio aina ya wanawake Wa hovyo kuwah kutokea ndio maana single mother wanakuwa wengi kwa kukosa akilNenda na wa size yakoo
Kumbe ni fetty mbona katuangusha mahajjat wenzie 😀😀 laki nne na nusu ni Hela ya mahari Kuna dadaangu kachumbiwa juz mahari laki 5😂😂😂Ooh hatutaki kudate ma goal keeper, majobless... tunataka wale wanaofanya kazi... haya dada Fetty huyo anamkausha bro wenu 🤣🤣
Wew Tena mwenyekiti wa uwabataNipe namba yake.. mkuu kama humtaki
😅😅 majukumu kusaidianaaa😂😂😂😂
Wew Tena mwenyekiti wa uwabata
Hamna u classic wowote acheni kujimwambafai tena nyie classic mm ndio huwa nawagongea hata juu ya visiki [emoji23][emoji23][emoji23]Ni chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
😂😂😂😂😂Hamna u classic wowote acheni kujimwambafai tena nyie classic mm ndio huwa nawagongea hata juu ya visiki [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza pussy ni ileileHamna u classic wowote acheni kujimwambafai tena nyie classic mm ndio huwa nawagongea hata juu ya visiki [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu mdogo wangu,hawa madada maslay queen wana tabu sana hapa mjini,we waone tu wanavyotamba huko Instagram,wanayoyapitia wanajua wenyewe na aliyewaumba.Ulivoongea ivi umenifanya niwaze kina poshqueen, geeda, sanchi, Jesca tz, kwa mionekano yao na life style zao za kidangaji huenda wanatoa ndogo Ironbutterfly
AsanteeeIle yenye 80 mwishon [emoji23]
Wacha wapigwe tu..Kama ulikuwa hujui basi habari ndio hiyo.
Ukiona mwanamke anakuomba pesa bila mpango huyo hakupendi na hajali.
Mwanamke anayekupenda anajali na future yako.
Sema nini wapo wanaume wakiona sketi tu akili zinahama.na wanapigwa sana na wadada wajanja wa mjini.
Ndio maisha lakini.
Uzeeni tutakutana tu
Tafuta hela simbilisi weweAnapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Sawa dada mbwa jike.Tafuta hela simbilisi wewe
Laiti kama wangekuwa wanatoa classic services, vijana wasingekuwa wanalalamika. Muda wote wapo busy na simu na kutengeneza kucha, unadhani wana muda wa kutoa classic services kama unavyodai? Wanawaza party na mashindano muda wote.Ni chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
Ahhaahhah ila jamaaa uliingiaa chaka kwanini usitafute size yako inay kutosha ni sawa na mwalimu kwenda kumtongoza Rubani wa ndege na kumuhakikishia atamtunza