Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Kuna demu yuko London anafanya kazi kwenye international auditing company level za kina KPMG na PWC nikashangaa ananiomba hela. Nikamjibu usijali nitumie bank account nikashtuka lile jini kweli limetuma na liko serious. Nikasema hata kama ananipima kama niko serious acha tu nimkose kuliko kutuma laki 3 London kwa mtu anayepokea mamilioni kwa mwezi. NI BINTI TOKA MKOANI KILIMANJARO.
 
Mkuu ni made up story, mtu mwenye mshahara wa over 2m net salary gross salary yake ni karibu 5m, huyo hawezi kua na tabia kama hizo unazotaka kuzionyesha hapo anaomba omba 150k.

Hii ni habari ya kupika.
Wewe huwajui wanawake yupo radhi atombwe apate 100K lakini sio kutumia hela yake.
Jamaa yangu mmoja ilikuwa banker siku mmoja akaja mdada mteja jamaa akachukua namba-wakaanza mahusiano,jamaa alianza kupigwa vizinga na yule Dada siku mmoja akaamua achungulie akount ya yule Dada akakuta Dada ana 8M bank na kila mwezi binti ana deposit.
Jamaa alichoka na kumtema kabisa huyo binti
 
Mkuu ako kaela bola hata ukamnunulie kakipande ka kanga mama yako atakushukuru sana, piga chini mbwa iyoo

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Lakini unakosea kumwita mbwa mkuu, ujue hadi waombane pesa wamepeana mautam ambao hawezi kupewa na mzazi hivyo hapo analipia utamu😂😂
 
Asee kwa aina hiyo ya uandishi inaonekana kabisa huyo Mwanamke ni changudoa ana act,she doesn't care about you kabisa-,yupo kwako kwa ajili ya pesa.
Cha ajabu bado anakufokea,dah

Kweli kwa hio chart ya kwanza tuh kuonganisha sms ya salamu na kuomba hela hapo inaonesha jamaa ni danga alaf tena anaambiwa kashakua bahili [emoji23][emoji23][emoji23]maninaa
 
Lakini unakosea kumwita mbwa mkuu, ujue hadi waombane pesa wamepeana mautam ambao hawezi kupewa na mzazi hivyo hapo analipia utamu[emoji23][emoji23]

Afu jamaa inaonyesha anatumaga xnaa ela saiv cjui kaishiwa ndio anagundua kua alikua anachunwa
 
Sijui ni common sense hamna au nini. From reading hizo text tu unaona kabisa kwamba someone anaku enjoy tu na wewe una play along na hadi feelings zinaku catch. Vijana mna shida sana😅
 
Kwa mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili na fikra kwa ujumla... akisoma tu hiyo chat anagundua vingi sana!

Kwanza hakuna mapenzi hapo, ni maigizo.

Pili, huyo mwanadada ni Mapepe hajatulia!

Tatu, hana akili na haya (aibu)

Nne, hafikirii mbele na ni mbinafsi (kesho yake wala ya mwenzake)

Tano, hafai kuwa kuwa mke hata wa tajiri..., HAFAI!

Mwisho, wanawake wazuri ni wa kuwatomba! Kuwafira na kuwapiga show za kibabe aina ya Gangbang! (Kinga muhimu)

Hawaolewagi hao wakatulia... hata wakiolewa wanagongwa nje kama kawa! Hawawezi kujizuia tamaa zao. Wanaamini uzuri wao ndo gateway ya ku-achieve mambo yote mazuri maishani. Akija kushtuka na kupata akili jua lishazama au na UKIMWI juu anao! Wengine hawazindukagi, wanaishia kugongwa hovyo mpaka wanazeeka na UKIMWI wao.

Wanawake warembo Mjitafakari!
 
Back
Top Bottom