Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Sema kwanza kama unataka uweke laki 3we tuma no kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kwanza kama unataka uweke laki 3we tuma no kwanza
😁 ndiyo, kindly DMSema kwanza kama unataka uweke laki 3
Ile ya 123Mama Elisha...kabla hujaniona maeneo yale...nimwpitia moto wa miss mwenzako...mpenda maisha ya juu kila siku, niliparuliwa hadi ngozi acha tu.
Nitume kwenye namba ipi inayoishia na 8 au na 01 ?🤣🤣🤣
Naona chat ya kutengenezaWewe ndo dhaifu, hakuna mwanamke anaweza nambia huo ujinga
Naomba nikiri niliimarishwa mara dufu sio siri.Ile ya 123
Mwanaume lazima upitishwe kwenye moto ili uwe wa kiume vizuri
Nguruwe pita sina mkuki mie ☺☺😁 ndiyo, kindly DM
Safi sana ndivyo inavyotakiwa 🤣Naomba nikiri niliimarishwa mara dufu sio siri.
Sasa niko imara kama ba Elisha🤣
Sasa wewe ndg yangu (m..licolin)Naona chat ya kutengeneza
Ndio au utaki?Unitumie laki 3 au 😒
Hakika wewe ni falla sana🤣🤣Nguruwe pita sina mkuki mie ☺☺
mambo ni kujaribu bana🙂Nguruwe pita sina mkuki mie ☺☺
Daah mwanangu sepaAnapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
🤔 shida yake ni uwogaHakika wewe ni falla sana🤣🤣
Naona chat ya kutengeneza
Humfahamu tu, huyo sio mwoga🤔 shida yake ni uwoga
Uache ujinga wewe🤣Safi sana ndivyo inavyotakiwa 🤣