Nimemchoka mke wangu natafuta jinsi ya kumpiga chini

Nimemchoka mke wangu natafuta jinsi ya kumpiga chini

Dah, sina cha kukushauri mkuu wangu. Maana nami yalisha nokuta nikaacha mahari yangu ikaliwa hivihivi.

Wazazi funzeni adabu watoto wenu, mnatutia hasara. Ona sasa kijana wa watu anatamani hata kuacha milion zake za mahari. So sad🥲
 
Yeye mipango yake juu yako ushaijua? Maana isije ikawa unapanga kumuacha kumbe ulishaachwa ila ni vile muda sahihi wa kugawana mali hujafika.

Embu muulize anaona nini miaka 10 mbele akikutazama. Utupe mrejesho mkuu.
 
Elezea Wahaya, ni muhimu sana
Kama sio mpenz wa K zenye maji maji na huwez kummwaga maji, atakucheat na mhaya mwenzake anaeweza Ayo mambo.

Wanaume wengi wa kihaya wanapenda Sana k zenye majimaji, afu Wana minyege mshindo. Ndo maana Ni Malaya Sana.

Ni Bora waoane wao kwa wao,wamezoea na wanaweza kusuguana usiku kucha
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
We ni mlokole gani kutaka kumpiga Binti wa watu chini?

Umesahau majukumu yako kama mwanaume Mkristo? Jukumu lako ni kuongoza, umeshawahi kaa chini ukazungumza na mkeo? Ushawahi onyesha mfano kwa mke wako unataka afanye kama hivi au awe kama hivi? Sasa kama umeshindwa kufanya hivyo, unataka nani akusaidie?

Kwanini unataka uhalalishe uzinzi na kumchafua Yesu Kristo? Kwakuwa kosa lake sio uzinzi, inarekebisnika.

Ungeenda kuita Baraza la wazee ukazungumza nao wakamuita mkeo kama angekuonyesha kiburi.
 
Back
Top Bottom