Nimemchoka mke wangu natafuta jinsi ya kumpiga chini

Nimemchoka mke wangu natafuta jinsi ya kumpiga chini

Kama siyo mjita ni bahati, maana kanda ya ziwa kwa ubishi wajita wanaongoza yaani ata kuoana wanaoana wao kwa wao.
Simiyu sio Mara sio Geita sio Musoma Simiyu nimeishi kule ni mwendo wa Olemora mayo mora sana Wasukuma
 
Inategemea.
Kabla hujamtuhumu mwenzio kuwa amechange jitathimini kwanza wewe upande wako upo vilevile?

Na unapo notice elements zisizoridhisha kwa mkeo, usikurupuke kumbadilisha ghafla/kibabe, nenda nae taratibu.
Kumbuka mlikutana wawili kila mtu na malezi yake na hulka tofauti.
Kwakuwa mmeamua kuwa mwili mmoja, jipeni nafasi ya kuvumiliana na kuheshimiana huku mkirekebishana kwaupendo.

Tanguliza busara, hakuna mwanamke mvivu wala mbabe ila papara zako ndo zitakufikisha kwenye conclusion na mtazamo wa kuchokana kumbe ni kitu kidogo tu umefeli.

Badili mindset mjomba. Vinginevyo hawa viumbe utawaona wote ni kama wamezaliwa na mama mmoja!

Wish you all the best...!
 
mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee
Mwambie akulipe umrudishe kwao au sema ulimlipa kiasi gani nipe namba yake nimpange kisha nikurudishie hizo million ulizomlipia mahari, aje kwangu nimbandue hakuna namna tena hizo hasira tena hao wenye hasira ndio watamu kweli kuwabandua maana inabidi uwe mbabe zaidi yake mnaweza mkaanza kupigana huku mnabanduana unamtia konde huku unamsukumia ndani ukishamtunishia misuli wese hili hapa
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
Fafanua huo uvivu ni wa kitandani au?
 
Tukiwaambia KATAA NDOA mnatuona wabaya ona sasa ushatapeliwa tayari unakuja kulia huku. Kimbia haraka kabla hujaendelea kutapeliwa.
NDOA NI UTAPELI.
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
Siyo mlokole wewe, sema unasali kwa walokole.
Mke mwema hupatikana kwa Bwana, wewe umeenda kutafuta mke mwema kwenye kabila. Sasa pamoja na kujua hakuna kuachana Wakristo bado unawaza kuachana huku ukidai ni mlokole. Shetani wewe mzima mzima.
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
Mwambie hauli viporo vina kuumiza tumbo, akishindwa hapa tumia kama gia ya kumrejesha kwao .

Hapa lazima anase tuu
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
nipe namba zake PM mkuu maana ww ulivamia chaka yaani mfilisti( mlokole) ...amuoe myahudi( msabato)....si vitatokea vita vya HAMAS 😂🤣😅😆😁😄😃😀......tena ambadilishe kwa mafungu yapi ambayo mlokole anayajua .....😂🤣😅😆😁😄😃😀.......ni bora ungetafuta kwa mwamposa mwenzako...uo wote ni utan kama kwel unamaanisha humtaki nipe namba zake
 
Ivi kumbe kunamnao fuata huu ushauri wa makabila kwenye habari ya mahusiano [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom