Nimemchoka mke wangu natafuta jinsi ya kumpiga chini

Nimemchoka mke wangu natafuta jinsi ya kumpiga chini

Dah, sina cha kukushauri mkuu wangu. Maana nami yalisha nokuta nikaacha mahari yangu ikaliwa hivihivi.

Wazazi funzeni adabu watoto wenu, mnatutia hasara. Ona sasa kijana wa watu anatamani hata kuacha milion zake za mahari. So sad🥲
Kwa ajili ya kutafuta amani ya moyo. Milioni kitu gani?

Nikusepa tu yakikushinda
 
Sijasoma comment zote ila naomba kuuliza, hivi Kuna aliye omba namba ya simu ya mtajwa kwenye thread.
 
Pole mkuu..huyo mkeo atakuwa na vinasaba na mkoa unaopakana na Simiyu
 
Pole sana. Kawaida, wanawake wa kizazi hiki wanafanana. Kama Kuna kilichokuvutia Toka mwanzo Hadi ukatoa mahari basi ng'ang'ania hicho.

Mfunze taratibu na umueleze unachokitaka au unachokitegemea katika maisha yenu ya ndoa.

Inachukua muda kufikia hatua ya kubalance Tabia zenu katika ndoa ukizingatia kila mtu alikuwa na maisha yake kabla ya kuoana.

Usichoke mapema. Bora shetani umjuaye kuliko malaika usie mjua.
umenena mkuu.


yes!!!
 
dawa mbona ndogo tu,zila mbunye yake kwa mda wa mwaka mmoja uone kama atakaa hapo,mwanamke akishajua uzaifu wako atakusumbua sana.kuna jamaa alikuwa anapigwa makofi na mkewe,akii ngia chumbani anakuta mke wake kachanua mbunye nje nje jamaa anabaki kucheka cheka tu unajua mama flani ya ishe anakula mzigo anasepa .k wanaamini uchi wao ni siraha kubwa kwao.izire uone kama atakaa hapo
 
Umefunga ndoa? Hizo sababu hazitoshi kuacha mke. Mke anaachwa tu Kwa sababu nzito nzito. Kama kuchepuka, muuaji, kapata kichaa, mlevi wa kupindukia!

Gubu halitoshi kumuacha mkuu beba mzigo wako
 
Dah, sina cha kukushauri mkuu wangu. Maana nami yalisha nokuta nikaacha mahari yangu ikaliwa hivihivi.

Wazazi funzeni adabu watoto wenu, mnatutia hasara. Ona sasa kijana wa watu anatamani hata kuacha milion zake za mahari. So sad🥲
Mkuu hii imenikuta namimi nipo kwny wakati mgumu sana
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
sambaza namba yake hapa watu wajue cha kufanya shap. unajibaraguza kutaka kuacha mke, wanaoacha huwa wanaaga?
 
Back
Top Bottom