Nimemchoka mke wangu natafuta jinsi ya kumpiga chini

Nimemchoka mke wangu natafuta jinsi ya kumpiga chini

Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?


Wewe sio Mlokolole:

1. Usifungiwe nira na asiye amini.
2. Ndoa inavunjwa, ila sio style hiyo.

Kama mna watoto, huu ndio mwanzo wako wa kuharibikiwa vizuri.
 
We ni mlokole gani kutaka kumpiga Binti wa watu chini?

Umesahau majukumu yako kama mwanaume Mkristo? Jukumu lako ni kuongoza, umeshawahi kaa chini ukazungumza na mkeo? Ushawahi onyesha mfano kwa mke wako unataka afanye kama hivi au awe kama hivi? Sasa kama umeshindwa kufanya hivyo, unataka nani akusaidie?

Kwanini unataka uhalalishe uzinzi na kumchafua Yesu Kristo? Kwakuwa kosa lake sio uzinzi, inarekebisnika.

Ungeenda kuita Baraza la wazee ukazungumza nao wakamuita mkeo kama angekuonyesha kiburi.
Aisee, kuna wanawake wana viburi hata shetani akasome.

Halafu anaweza kuwa sio mchepukaji ila akawa ni mchawi, hilo hata uzungumze nae kwanza hakubaliani nalo na hawezi kuacha, anaogopa adhabu ya viapo alivyoingia.

Anakupigia hesabu tu lini akutoe kafara, yaani kung'ang'ania kuishi nae ni kujichimbia shimo la tewa.
 
Ila kanda ya ziwa na kanda maalum kuna ubabe hatari. Yaani kuna matukio ya ajabu ajabu mpaka unashangaa.
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
Ina maana siku zote tangu umuoe hujampiga chini?
Tafuta Mkuyati au Mkashari kaka....😄
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
Sijaelewa umesema umechumbia
Huku tena u asema mke?? Ni mke au mchumba??
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
Mbali na hayo uliyoyaeleza hana jema lolote kwako?
 
Another man down..... copy that....
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
 
Acheni kuoa bana hamsikii tu, kutwa kulialia
 
Pole sana. Kawaida, wanawake wa kizazi hiki wanafanana. Kama Kuna kilichokuvutia Toka mwanzo Hadi ukatoa mahari basi ng'ang'ania hicho.

Mfunze taratibu na umueleze unachokitaka au unachokitegemea katika maisha yenu ya ndoa.

Inachukua muda kufikia hatua ya kubalance Tabia zenu katika ndoa ukizingatia kila mtu alikuwa na maisha yake kabla ya kuoana.

Usichoke mapema. Bora shetani umjuaye kuliko malaika usie mjua.
Changamoto nyingine ni kuigiza maisha kabla ya ndoa. Hii ni kwa pande mbili zote kwa lengo la ndoa. Inapo fika sasa kuishi pamoja maigizo Huisha na uhalisia huonekana na shida ndio huazia hapo
 
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa

Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee

Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?
Hakuna mkamilifu, hata baada ya kiza kinene hakuna budi kupambazuka.
Mwanadamu ni kiumbe wa kugeuka, fanya maamuzi ya kumbadilisha tabia kabla ya kubadilisha mke.
 
Back
Top Bottom