golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,270
- 693
hamna namna miaka yote nadhan ushajijengea namna ya kumhandle
kumwacha sio mpango considering miaka yooooooooooote uliyokaa naye pia kila mwanaume ana mapungufu yake na si rahisi kama wana Jf wanavyodhania kumpata mwanaume wa ukweli.Bora nusu shari kuliko shari kamili
Ukimuacha ndio atakuwa cha pombe zaidi, na hivi ni mwanajeshi kuna hatari kuwa anaweza kukudhuru
Jaribu kumtafutia saikolojisti amsaidie.
mimi ni msichana nina boyfrend wangu ambaye mapenz yetu yameanza tangu tukiwa udsm mwaka 2004-2007na mpaka leo tunaendelea,mimi nilikuwa wa kwanza kupata kaz 2009 na yeye kipindi chote alikuwa yupo tu mpka alipoenda jeshin na kukamishen mwaka jana .
matatizo yanayonifanya niombe ushauri ni kama yafuatayo..naomben mniambie km anaweza kubadirika nikimpa muda wa kujirekebisha au nitakuwa napoteza muda tu?
1.ni chapombe tangu tukiwa chuo na nikawa nasema labda ni utoto tu wa shule uenda tukimaliza ataacha lakin hali haikuwa ivyo aliendelea kulewa sana ata afta chuo.
2.tulipokuwa tunapewa boom yeye analimaliza mapema lake then kaz inakuja kwangu .naomba unisaidie nauli ,naomba unisaidie ela ya kula sina mi skuwa na hiyana nampa tu kama ninayo
3.yeye hajawai kunipa ata sh kumi ni mimi tu ambaye namsaidia akikwama na mara akifanikiwa kupata pesa basi mapenzi yanapungua lakin akiishiwa mapenz,unyenyekevu na mahaba graph inapanda
4.kila nikimwambia ajirekebshe yaan analia anasema hajui kinachomsukuma kufanya ivo cz ata yeye pia hapend,wazaz wake wamemwonya sana lakini hasikii ilifikia hatua alikuwa km chizi ivi yaan too much pombe akisimama tu pale unajua mhh this is chapombe
5.juzi kapokea mshahara within 2wks kazinywea zote na majuz akaanza kuniomba ela ya nauli alivyokuja kunitembelea
7.analilia nimzalie mtoto/tuoane lakin nikiangalia mambo yake hofu inanijia kwamba ntakuja kuona rangi zote za dunia nikiwa ndoani nayeye
1.JE KUNA SIKU ANAWEZA KUBADIRIKA?
2.ANAWEZA KUTAMBUA NA KUJITAMBUA HE IS A MAN N ACT AS A MAN?
3.SHOULD I LEAVE HIM AU NIFANYEJE?
naomben ushauri cz naamin watu wa jf wana busara na hekima sana na ndiyo maaana nikawashirikisha kilio cha moyo wangu ili nipate msaada.
asanten n may god bles u
ikiwezekana aache vyote
mwanaume ajawai kunipa ata sh kumi yake ni mimi tu wa kumsaidia
akiwa na shda mapenz yanapanda sana lakin akiwa na ela anakuweka kando mpk akiishiwa ndo mahaba utayaona
kuniomba nauli pia spend y asiwe anaifadhi pesa zake?yeye zote ananywea afu mimi ndo wakufiks panapoitajika is it fear?
mimi sinywi lakin yeye sijamwambia aachew kabsa nimemmwambia anywe kwa kiasi na akumbuke majukumu na aanze kujipanga kimaisha likin yeye walaaaaaaaaaaaa as if ana maisha fulani kumbe hana chochote kuish anaish kwenye mabanda ya bati ya jeshini akili ya kujijenga hana na nimemshauri mpka nimechoka ..
unamshauri leo kesho akipata ela anazipeleka bar zote
anapenda sana kuniomba pesa i kwangu siitak cz nahisi itanisumbua mbelen ..wakat hana kaz nilikuwa naona poa tu na nilikuwa nampiga tafu kwa kujua akipata kaz msalaba nitautua lakin hali imezd kuwa mbaya ela zote za mshahara ananywea sjawai kuona ata sh kumi yake ..i kweli inanikera sana
Acha upuuzi kua, macho unayo lakini huoni.. masikio unayo lakini husikii :bored: sasa unataka tukusaidie nini wakati kila kitu ushaona kila kitu mwenyewe!! Kwani umeambiwa wanaume wameisha?????:disapointed:
Jamaniieeeeeeeeeeeee watu hubadilika. Kwa ukweli ni kero sana kukaa na mtu wa aina hii!
Mfano mimi kua wakati nilikuwa nikiamka nafikiria safari baridi saa 12 asubuhi. Yaani sifikirii kitu chochote. Hali hii iliendelea na zaidi nilipooa wakwe wakamnunulia binti ya yao. Sikujua kijiko wala uma ni nini. Kitanda chenyewe nilinunua baada ya kuoa. Usiniulize nilikuwa nalala wapi!
Mke wangu alivumilia haka katabia ka ulevi. Tulipopata mtoto wa kwanza wakwe wakamtunza mke wangu kwa miezi 3 hivi. Nilipomchukua mke wangu na kuanza kuishi naye na mtoto wetu, taratiibu akili ikaanza kuja! Kwanza nikapigwa stop no sigara kuvuta nyumbani! Ikawa nikija kwanza niende nikaoge ndo nimkaribie mtoto kutoa harufu ya sigara. Taratiibu nikaanza kuzoea nikaacha sigara nikabakia na pombe. Niandikapo hapa nina miaka nane tangu niache sigara na sasa huwa nakunywa bia mbili tu na mara nyingine napitiza hata mwezi bila kunywa. Ilifikia mahali njikipewa dawa ambazo siruhusiwi kunywa pombe situmii na hata nikitumia simalizi dozi! Siku ya kwanza tu jioni yake naanza kunywa!
Hiyo ni kwa baadhi ya watu,,,, ila kusema ukweli kubadilika ni mtu mwenyewe.
mimi ni msichana nina boyfrend wangu ambaye mapenz yetu yameanza tangu tukiwa udsm mwaka 2004-2007na mpaka leo tunaendelea,mimi nilikuwa wa kwanza kupata kaz 2009 na yeye kipindi chote alikuwa yupo tu mpka alipoenda jeshin na kukamishen mwaka jana .
matatizo yanayonifanya niombe ushauri ni kama yafuatayo..naomben mniambie km anaweza kubadirika nikimpa muda wa kujirekebisha au nitakuwa napoteza muda tu?
1.ni chapombe tangu tukiwa chuo na nikawa nasema labda ni utoto tu wa shule uenda tukimaliza ataacha lakin hali haikuwa ivyo aliendelea kulewa sana ata afta chuo.
2.tulipokuwa tunapewa boom yeye analimaliza mapema lake then kaz inakuja kwangu .naomba unisaidie nauli ,naomba unisaidie ela ya kula sina mi skuwa na hiyana nampa tu kama ninayo
3.yeye hajawai kunipa ata sh kumi ni mimi tu ambaye namsaidia akikwama na mara akifanikiwa kupata pesa basi mapenzi yanapungua lakin akiishiwa mapenz,unyenyekevu na mahaba graph inapanda
4.kila nikimwambia ajirekebshe yaan analia anasema hajui kinachomsukuma kufanya ivo cz ata yeye pia hapend,wazaz wake wamemwonya sana lakini hasikii ilifikia hatua alikuwa km chizi ivi yaan too much pombe akisimama tu pale unajua mhh this is chapombe
5.juzi kapokea mshahara within 2wks kazinywea zote na majuz akaanza kuniomba ela ya nauli alivyokuja kunitembelea
7.analilia nimzalie mtoto/tuoane lakin nikiangalia mambo yake hofu inanijia kwamba ntakuja kuona rangi zote za dunia nikiwa ndoani nayeye
1.JE KUNA SIKU ANAWEZA KUBADIRIKA?
2.ANAWEZA KUTAMBUA NA KUJITAMBUA HE IS A MAN N ACT AS A MAN?
3.SHOULD I LEAVE HIM AU NIFANYEJE?
naomben ushauri cz naamin watu wa jf wana busara na hekima sana na ndiyo maaana nikawashirikisha kilio cha moyo wangu ili nipate msaada.
asanten n may god bles u
sijui hata alikwend achuoni kufanya nini huyu binti, ikiwa hata kuamua jambo kama hili linalohusu mustakabali wa maisha yake hawezi. Tena jamaa kawa mjeshi asubiri kubamizwa tu.
Umeona mkuu watu wengine mpaka wanaudhi, kweli kusoma sio kuelimika... sasa huyu mleta mada anatofauti gani na wale watoto walotoka shule za kata mwaka jana????:bored: