Nimemchoka mwanaume huyu lakini nampenda nifanyeje?

Nimemchoka mwanaume huyu lakini nampenda nifanyeje?

Dada yangu siwezi kukuambia umuache japo ni wajibu wako kufanya hivyo...huyo ameshindwa kujilea sembuse kulea familia..uliona wapi mtu anamaliza mshahara kwa wiki mbili, siku zote yeye ni ombaomba..tafadhali kuwa strong katika hili na ufanye unachotakiwa kukifanya...mzalie uone moto...kwani atatumia kigezo cha wewe kuwa mzazi mwenzie kumiliki kila kitu, kama uhuru, akiba zako, hata kujaribu kukuaribia hata ajira ...sikutanii tumeshayaona kama hayo....kwenye maisha unapaswa ujipende wewe mwenyewe kwanza na hata unapopenda wengine unapaswa uwapende kama unavyojipenda na ninachokiona mimi kwako ni kuwa HAUJIPENDI KABISA..maisha sio uwanja wa mazoezi...kama unabisha fanya jaribio la kuzaa naye uone...SIKUTISHI
 
Naweza kukupa ushauri nje ya hapa?
Mi nimemsikia anaseama lazima uende na nauli yako na kinywaji juu yako. Mimi kama kaka yake nimemshauri asitoe tena nauli kwa vibuzi! Hata huyu mtarajiwa anataka mtoto wa bure ili naye alipiwe nauli ya kwenda kazini tunatangaza huduma kusitishwa kwa muda till next time!
 
Mshukuru Mungu umeweza kumsoma na kumuelewa mapema,usijitafutie majuto kwa kuendelea kuwa nae.Jiondoe hapo mdada.Piga goti Mungu akuoneshe na akupatie ambaye wewe ni ubavu wake
 
<p>
kuna mtu amewasaidia wengi.. no. yake ni 0712183282
</p>
<p>&nbsp;</p>


mhh tatiana huyo mtu anasaidiaje hao watu kimaombi au kiushauri? namimi labda nimpelekee matatizo yangu
 
<p>
<font face="Tahoma">mimi ni msichana nina boyfrend wangu ambaye mapenz yetu yameanza tangu tukiwa udsm mwaka 2004-2007na mpaka leo tunaendelea,mimi nilikuwa wa kwanza kupata kaz 2009 na yeye kipindi chote alikuwa yupo tu mpka alipoenda jeshin na kukamishen mwaka jana .</font></p>
<p><font face="Tahoma">matatizo yanayonifanya niombe ushauri ni kama yafuatayo..naomben mniambie km anaweza kubadirika nikimpa muda wa kujirekebisha au nitakuwa napoteza muda tu?</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font face="Tahoma">1.ni chapombe tangu tukiwa chuo na nikawa nasema labda ni utoto tu wa shule uenda tukimaliza ataacha lakin hali haikuwa ivyo aliendelea kulewa sana ata afta chuo.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font face="Tahoma">2.tulipokuwa tunapewa boom yeye analimaliza mapema lake then kaz inakuja kwangu .naomba unisaidie nauli ,naomba unisaidie ela ya kula sina mi skuwa na hiyana nampa tu kama ninayo </font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font face="Tahoma">3.yeye hajawai kunipa ata sh kumi ni mimi tu ambaye namsaidia akikwama na mara akifanikiwa kupata pesa basi mapenzi yanapungua lakin akiishiwa mapenz,unyenyekevu na mahaba graph inapanda</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font face="Tahoma">4.kila nikimwambia ajirekebshe yaan analia anasema hajui kinachomsukuma kufanya ivo cz ata yeye pia hapend,wazaz wake wamemwonya sana lakini hasikii ilifikia hatua alikuwa km chizi ivi yaan too much pombe akisimama tu pale unajua mhh this is chapombe</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font face="Tahoma">5.juzi kapokea mshahara within 2wks kazinywea zote na majuz akaanza kuniomba ela ya nauli alivyokuja kunitembelea</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font face="Tahoma">7.analilia nimzalie mtoto/tuoane lakin nikiangalia mambo yake hofu inanijia kwamba ntakuja kuona rangi zote za dunia nikiwa ndoani nayeye</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font face="Tahoma">1.JE KUNA SIKU ANAWEZA KUBADIRIKA?</font></p>
<p><font face="Tahoma">2.ANAWEZA KUTAMBUA NA KUJITAMBUA HE IS A MAN N ACT AS A MAN?</font></p>
<p><font face="Tahoma">3.SHOULD I LEAVE HIM AU NIFANYEJE?</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font face="Tahoma">naomben ushauri cz naamin watu wa jf wana busara na hekima sana na ndiyo maaana nikawashirikisha kilio cha moyo wangu ili nipate msaada.</font></p>
<p><font face="Tahoma">asanten n may god bles u</font></p>
<p>
</p>
<p>&nbsp;</p>

wanaume wa sampuli hiyo wako kibao wanaitwa 'vimeo' hawafai utateseka mpaka ukome nakushauri temana nae upesi weka mtazamo kwa wanaume wenye akili shosti bora umeshtuka mapema.
Maana hilo sio bomu ni tetemeko kimbia
 
Utapewa ushauri kibao hapa tena wa maana but at the end of the day we sikiliza moyo wako tu!
 
kuhusu suala la ndoa ni vyema ukamshirikisha Mungu kwa maana labda atabadilika mkishaoana ila cha muhimu ni kutokubali kubeba ujauzito kabla ya ndoa takatifu, ukihitaji msaada zaid nipigie au nitumie msg kwene # 0785343853, Mungu akusaidie katika kufanya maamuz ya busara!
 
Msaidie mwenzio kama unampenda kwa dhati. kwanza mpe masharti kama anakupenda atakusikia, akipata hiyo pesa akupe mfanye mipango ya future kama kununua thamani za ndani na mambo mengine, yeye unampa tu pesa kidogo ya matumizi. Pia mwambie awe anaenda kanisani itasaidia kiasi fulani kusikia neno la Mungu anawez pata hofu fulani ya Mungu
 
nimuulize huyu dada; je unampendea nini huyo BF wako? maana tuwe makini na kusema unampenda mtu kumbe unakuwa UMEMZOEA TU kwasababu mmekuwa pamoja siku nyingi. ninamfano wa demu mmoja(mtoto wa kishua) alimpenda houseboy wao na wazazi walimkataza akakataa na kutishia kujiua. hapa ninachojifunza ni mazoea tu ya kuwa pa1 kimazingira/kimapenzi nk. so, kwa maelezo ya dada hapo juu ni kwamba mzigo umemelemea na hata hawezi kujisifu kwa wenzake kuhusu boifrendi wake (asiyemsaidia, asiyejipenda, unfocused etc). una nini cha kujivunia kwa huyo BF?
ushauri;
1. vumilia (maana kunawengine mmezaliwa mama huruma)-jifariji kwa kumuombea, kumpa ushauri.
2. quit na hutakuwa na cha kujutia
hakuna option nyingine
lastly, AMEKUZOEA SANA INAONEKANA NA ANAJUA WEWE NI MSAADA (POCKET MONEY)
remember; ndoa ndoano na challenges ni nyingi na wengine hupatia BP ndoani but on the other side of the coin ukipata chaguo zuri, ni peponi kila siku
 
unatoa number ya nini?? andika ujumbe kijana (masterhuds) wengi tupate somo.
 
You cannot change anybody especially a man...only God. Advise...its you to change. Believe me it works.
 
Back
Top Bottom