Vitalis Konga
Senior Member
- Sep 22, 2018
- 127
- 231
Leo tarehe 19/06/2020, nikiwa imara kimwili, kiakili na kifikra nilipata wasaa maalumu wa kumdhamini mwombaji wa nafasi ya URAIS kupitia chama chetu #CCM Mh Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Najisikia furaha sana kuwa miongoni mwa mwanachama wachache wa #CCM tuliopata fursa hii adhimu kutokea kwa Kila miaka mitano ya Uchaguzi Mkuu Tanzania.
In Magufuli We Trust
T2020JPM
Vitalis Konga (Mwana Vasamwenda)
Njombe Mjini
Najisikia furaha sana kuwa miongoni mwa mwanachama wachache wa #CCM tuliopata fursa hii adhimu kutokea kwa Kila miaka mitano ya Uchaguzi Mkuu Tanzania.
In Magufuli We Trust
T2020JPM
Vitalis Konga (Mwana Vasamwenda)
Njombe Mjini