Pre GE2025 Nimemdharau Tundu Lissu kwa kukataa hela/Mabilioni ya CCM kisa CHADEMA

Pre GE2025 Nimemdharau Tundu Lissu kwa kukataa hela/Mabilioni ya CCM kisa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam

Lissu nilikuwa nakuheshimu sana.

Umepigwa risasi sababu ya CHADEMA, umefungwa sababu ya CHADEMA, huishi kwa amani sababu ya CHADEMA.

Leo unakataa ngawila sababu ya CHADEMA. Umelogwa au? Dunia Mungu akupe nini?

CHADEMA Mbowe alishaiuza kwa Lowassa, sasa kaipiga mnada kwa Samia.

Hadi sasa hujui nani alituma walotaka kukuua. Ila sasa utajua jinsi hupendwi CHADEMA sababu unawazibia ulaji.

Nikuwa nakuheshimu sana. Kama umefika hatua ya kukataa hela ya kuwalisha wanakijiji wa kwenu Singida Mashariki kwa miaka 10, sina nyongeza.

Jumapili nakuja Tegeta kula mbuzi Mkuu.. Ila kwenye siasa ntakusema kama navyosema watu wengine bila kujali urafi wala undugu.

Huyu mtu wa CHADEMA aliyemleta Abdully anakutakia mema. Utajiri. Anakujali sana sababu Viongozi wenzako wamepewa na wamepokea

 
Siyo wote ni wapenda Rushwa na dhuluma. Rais mwenyewe alisema kila mmoja atawajibika kwa mola wake hapa tunapita tu. Lissu endeleza uzalendo na roho yako iweke safi. km Mungu alikulinda usife ana sababu na wewe. Ni kiumbe chake Mola alichopendezwa nawe.
 
Lisu kaweka chama mbele, mwenzake kaweka tumbo mbele. Haihitaji akili kubwa kumjua mtu mwenye connection na familia ya mama Abdul.
 

Attachments

  • images (9).jpeg
    images (9).jpeg
    39.9 KB · Views: 8
  • images (10).jpeg
    images (10).jpeg
    30.3 KB · Views: 4
Kama ni utani, siyo katika jambo la aina hii. Nenda katafute utani kwenye jambo jingine lolote, lakini siyo juu ya Tanzania yetu

Tundu Lissu kajitoa kila kitu kwa Tanzania na wananchi wake.

Hakuna heshima nyingine zaidi ya hiyo popote.
 
Salaam

Lissu nilikuwa nakuheshimu sana.

Umrpigwa risasi sababu ya CHADEMA, umefungwa sababu ya CHADEMA, huishi kwa amani sababu ya CHADEMA....
Bosi cha mtu mavi. Muulize mbowe aliyepokea hela akakataa kuhama alivyoshughulikiwa. Lisu ni muadilifu hana huo ujinga.

Ila Mbowe alichukua hela na akagoma kuhama wakuda wanasema akaitumia hiyo hela kuanzisha miradi huko moro mara umwagiliaji hai na wakaishia kuharibu miundombinu yake yote na biashara zake zote kumkomoa.

So Mbowe siyo muadilifu ni jizi na jambazi na uaji.
 
Hivi wewe unaelewa sacrifice ya kupigania watu wanaodhulumiwa??

Hivi wewe unadhani namna ya kutokomeza dhuluma hizo ni na wewe mwanaharakati kuingia Kwenye huo mtego wa kupokea rushwa??😗
 
Bosi cha mtu mavi. Muulize mbowe aliyepokea hela akakataa kuhama alivyoshughulikiwa. Lisu ni muadilifu hana huo ujinga.

Ila Mbowe alichukua hela na akagoma kuhama wakuda wanasema akaitumia hiyo hela kuanzisha miradi huko moro mara umwagiliaji hai na wakaishia kuharibu miundombinu yake yote na biashara zake zote kumkomoa.

So Mbowe siyo muadilifu ni jizi na jambazi na uaji.
Hoja yako inajipinga yenyewe. Hakuna mtu aliyeshughulikiwa zaidi ya Lissu. Kupona kwake ni muujiza tu. Sasa lazima tujenge hoja zenye mantiki kwa faida ya kunoa akili zetu na za wengine pia. Kama kupokea pesa kunaendana na kushughulikiwa, basi Lissu angekuwa alipokea nyingi zaidi.
Tunatakiwa kuwafanya watu wenye siasa zisizohongeka kama Lissu kwa mfano wa kuigwa. Lazima watoa rushwa na wapokeaji waogope wakijua ni kosa la jinai na kimaadili vile vile.
Rushwa ikihalalishwa hakutakuwa na taifa. Wote watanunuliwa na wageni.
 
Bosi cha mtu mavi. Muulize mbowe aliyepokea hela akakataa kuhama alivyoshughulikiwa. Lisu ni muadilifu hana huo ujinga.

Ila Mbowe alichukua hela na akagoma kuhama wakuda wanasema akaitumia hiyo hela kuanzisha miradi huko moro mara umwagiliaji hai na wakaishia kuharibu miundombinu yake yote na biashara zake zote kumkomoa.

So Mbowe siyo muadilifu ni jizi na jambazi na uaji.
Roho ya Mungu Iko ndani ya TAL. Huyu sio Leo tu ndio kagoma kupokea RUSHWA za maccm; tangu nyakati za Mkwere ashagomea rushwa nyingi sana. Tukumbuke rushwa hupofusha fikra za wenye akili. Si umeona Msigwa sasa ameshakuwa mtumwa wa kubebeshwa picha za Samia?
 
Back
Top Bottom